Bahati mbaya, ndio wapo kwenye nafasi/uwezo wa kusema. Mwishowe, usiangalie anayekwambia kama ni mzungu au la, ila angalia unachombiwa kama ni cha maana.Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
Supported.Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
Bado wewe huna msimamo, inonekana bado imunamtetea Mseven na wote wenye tabia kama zake.Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
Boiling point inatakiwa iweje?Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
Museveni ni sawa na Mchuma Janga...Museveni amekalia kiti kavu lkn ameyataka mwenyewe.
Acha shallow reasoning, waganda watamtoa kwa njia gani wakati Museveni anatumia jeshi kuwaua. hapa kwani tumefanya nini wakati miili imeokotwa kila leo coco beach! Jeshi linatumiwa kuwaua ben saa nane, Lisu Mawazo and many more others! Tuna la kufanya? acha external force isaidie kumtoa!Sikubaliana na vitendo alivyofanyiwa Bob wine lakini hamna kitu nachukia kama Wazungu kutuambia cha kufanya. Kama Waganda wakifika boiling point watamtoa huyo Mzee.
mbona Jiwe hujalitajawaafrika hatuwezi kujitawala na uongozi hatujui, watu kama mu7, nkulunzinza, kagane, kabila n.k ni kielelezo cha ufinyu wa akili za mwafrika. viongozi wa kiafrika wana sifa zinazofanana ni wabinafsi na waroho wa madaraka!! EU endeleeni kukaza nati maana tumeshindwa kujikomboa!!
Huli taji Jiwe, kwanini? Hii list iende mbali hata kwa chama kimoja kuendelea kung'ang'ania madaraka kwa hila mbali mbali, hata kuua, nayo ni tatizo. Tunahitaji nguvu toka nje kuliko tusubiri kuuwawa watu wengi na watawala.waafrika hatuwezi kujitawala na uongozi hatujui, watu kama mu7, nkulunzinza, kagane, kabila n.k ni kielelezo cha ufinyu wa akili za mwafrika. viongozi wa kiafrika wana sifa zinazofanana ni wabinafsi na waroho wa madaraka!! EU endeleeni kukaza nati maana tumeshindwa kujikomboa!!