Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,520
- 2,161
Tusubiri tuone! Mbona huko Yemen na kwingineko ndio wao wanapiganisha vita na kusababisha mauaji makubwa kila uchao ? Jana tu Spain imeamua kuendelea kuuzia nchi za kiarabu zinazo iaangamiza Yemen guided missiles ! Ee mungu tunusuru na wazungu hawa wasilete vita Uganda ![/QUOTE vita ni fursa ya kibiashara kwa MATAJIRI