European Court of Human Rights says that homosexual marriage is not a human right

Hii thread ni mfano halisi wa namna Kiingereza kinavyotupiga chenga Watanzania. Eti Breaking News my foot! Kama kawaida areafiftyone kajua kuwateka. Halafu hiyo link iliyowekwa inaonekana hiyo habari ni ya 2017 (mwaka jana) na hiyo blog ya Mbongo imetoa hiyo habari bila kuweka wapi ilizitoa. Hizi habari zilikuwa Breaking News mwaka 2014 (miaka minne iliyopita) na ilihusu rufani ya kesi iliyofunguliwa mwaka 2004 nchini Ufaransa., bonyezeni hapa...


Hata hivyo ukitaka kujua msimamo wa nchi za Ulaya kwa sasa (mwaka 2018) kuhusu kinachoitwa gay marriages unaweza kusoma hapa chini...

Au unaweza kupitia hukumu hii iliyotolewa nchini Uingereza mwaka 2015...




 
WHAT IS NATURE?
The essential qualities or characteristics by which something is recognized.
It's a nature of fire to burn
It's nature for a man to f.uc.k a woman
Nature has seen to that men are stronger than women
The law of nature.

Chochote kile kinachofanya tabia tofauti na zake ni kasoro ya uasili wake na kasoro hiyo haipo katika uasili bali imeharibiwa aidha na mazingira ya bahati mbaya ama makusudi.
 
Hii thread ni mfano halisi wa namna Kiingereza kinavyotupiga chenga Watanzania. Eti Breaking News my foot! Kama kawaida areafiftyone kajua kuwateka. Halafu hiyo link iliyowekwa inaonekana hiyo habari ni ya 2017 (mwaka jana) na hiyo blog ya Mbongo imetoa hiyo habari bila kuweka wapi ilizitoa. Hizi habari zilikuwa Breaking News mwaka 2014 (miaka minne iliyopita) na ilihusu rufani ya kesi iliyofunguliwa mwaka 2004 nchini Ufaransa., bonyezeni hapa...


Hata hivyo ukitaka kujua msimamo wa nchi za Ulaya kwa sasa (mwaka 2018) kuhusu kinachoitwa gay marriages unaweza kusoma hapa chini...

Au unaweza kupitia hukumu hii iliyotolewa nchini Uingereza mwaka 2015...




In the finishing parts of the thread I said this,
"It is important and absolutely necessary to spread this kind of news because governments and sympathizers of such lobbies will not want people to know.
Obviously, it does not interest the media to publicize this news!"
What you are doing is "almost" the same thing.You are trying as much as possible to make gay people believe there is no such ruling and that they are in safe hands.Yes taarifa hii ni ya 2014,lakini nimesema pia kwamba the news media will try to hide this imformation,na kweli wamefanya hivyo.In the interim the news media wakaleta taarifa za kujaribu ku-waterdown rulling ya The International Court of Human Rights.Haya yalitegemewa,lakini hiyo haijafuta ruling ya korti ya dunia ya haki za binadamu,it stands.Kama unataka tuamini kwamba hiyo rulling ya 2014 imefutwa tuletee rulling nyingine ambayo itaonyesha kwamba The International Court of Human Rights wamekula matapishi yao,otherwise it stands.


Wewe obviosly ni sympathizer na kuadi wa the "gay agenda." You are infact assisting world govenments and media which support the gay agenda,like the Telegraph and The Guardian. Hawa ni guardians of the agenda,so what did you expect them do and say,si kuwapa moyo gays kwamba despite the ruling of the International Court of Human Rights you are safe.
 
Kama ushoga ni nature then kwa nini hii nature inaongezeka kwa speed ya light nowdays? Any punditical analysis.
Sio kwamba all of sudden,watu wameamua kuwa mashoga now days......wengi waliokuwa wanaishi kwa kificho sasa wanaweza kuishi hadhari, haimaanishi zamani hawakuwepo au namba yao ilikuwa ndogo
 
In this historic but not disclosed, Resolution, the Court decided that the concept of family not only contemplates "the traditional concept of marriage, that is, the union of a man and a woman", but also that they should not be imposed on governments to "obligation to open marriage to persons of the same sex".

As for the principle of non-discrimination, the Court also added that there is no discrimination, since "States are free to reserve marriage only to heterosexual couples."

It is important and absolutely necessary to spread this kind of news because governments and sympathizers of such lobbies will not want people to know. Help spread if you want! Obviously, it does not interest the media to publicize this news.

You can also read this information in the following link.


Good move!
 
How do u mean.....?!

Unajua kuna vitu natural wala havina haja ya kujustify maana vipo clear.......

Kama kupumua uhangaike kuiandika kama human right, wakati ni simple logic kuwa mtu asipopumua hawezi ishi.......

Kwenye mambo ya mgegedo ni ngumu kujustfy swala la watu wa jinsia moja kufanya mahusiano rasmi na wakati mifumo ya kijamii haitambui hiyo kitu simply kwasababu mahusiano basically ni for reproduction purposes na sio swala la kukidhi mihemuko ya miili yetu......

Ni kama tunavyokula chakula kitamu, sio kwasababu tunakula tukiwa tunataka ule utamu bali ni virutubisho kwaajiri ya mwili.....

Sasa hawa mataahira wasagaji na mashoga wao wamebase kwenye tamaa za kufurahisha mwili kitu ambacho ni cha muda tu wa huu ujana na mwili ukishaelekea uzeeni huwa unaloose interest ya ngono na hapo ndipo wengi huwa wanapatwa na msongo wa mawazo na kufa kama majibwa koko.......hapo bado sijaongelea swala la watu walioingiliwa kinyume na maumbile kuwa wanakuja patwa na shida kali sana huko utu uzimani katika mfumo wao wa haja kubwa.....hadi huwalazimu kuvaa pampers kama watoto wachanga sababu wameshaharibiwa chamber squad......

Sasa tell me, how is it a human right mtu kufanya jambo litalomdhuru baadae kiafya na pia hata jamii yake haifaidiki nalo?!
Kwahiyo watu wasioweza kupata watoto sio binadamu kamili!!?

Since mashoga na wasagaji hawawezi kupata watoto!!?
 
1. Baba Askofu Chengula amekuwa mkweli wa kuhubiri Injili , hakusita kuzungumza ukweli na hivi karibuni nafikiri ni mwezi huu alizungumza kuhusu kupinga hadharani Ushoga-Rais Dkt. John Magufuli wa Tanzania, 26/11/2018
2. Jadi inatafsiri Ndoa kama ni muunganiko wa Mwanaume na mwanamke na Serikali zisilazimishwe kuhalalisha ndoa za Jinsia moja- Hukumu ya majaji 47 wa Mahakama ya Dunia ya Haki za Binadamu nchini Ufaransa 27/11/2018
3. Ndoa ya Jinsia moja ni tendo baya na kinyume na Mungu., Marekani na watu wake ni wa Mungu- Rais wa Marekani Donald Trump NEW York Marekani 27/2018 wakati wa utiaji saini Agizo linalokataza ndoa za Jinsia moja katika Taifa hilo kubwa kabisa Duniani.

Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu , hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili, Wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke , ya asili , wakawakiana tamaa , wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao. Warumi 1:26-27
46892488_205643063693363_2680550146688679936_n.jpg

46858667_205643080360028_8307430425161105408_n.jpg
 
kuna watu ni mashoga by Nature. ukisema sio human rights basi nao sio human


Let me assume wewe ni mwanamme.....hivi unawezaje kukubali kutiwa jiti na mwanamme mwenzako na kujiita mke wake? Kwa akili ya haraka haraka au ya kuazima, wewe unafikiri ni jambo la busara mwanamme kama wewe kujiita mke wangu?
 
Ngoja wale activists wa gay rights waione hii,Ila sijui kwa nini mnapendaga kuwapa promo..lol,anyway this is like kusema straight na wenyewe sio right Yao...it’s wrong...


cc: Shoga Fatma Karume, Shoga Maria Sarungi Tsehai na mashoga wote wa Dar
 
Hakuna Shoga by Nature. Watu hijifunza mambo hayo kwa ta tamaa zao wenyewe. Mungu hajawahi fanya makosa katika uumbaji
So magonjwa ya kurithi yanatokea wapi kama huyo Mungu wako haumbi kwa makosa!!?

Wanaume na wanawake wasioweza kuzaa wanatokea wapi kama huyo Mungu wako hafanyi makosa!??

Unajua kuna wanawake wanazaliwa bila uzazi,wanaume wanazaliwa bila uwezo wa kutengeneza shahawa!!?Mungu wako kafanya hayo yote!!?

Kama Mungu wako anaweza kufanya hayo yote,unafikiri hawezi kutengeneza shoga au msagaji pia
 
MAHAKAMA ULAYA: NDOA ZA MASHOGA SI HAKI ZA BINADAMU

Na Mwandishi Maalum,
STRASBOURGH

Kwa kauli moja, Mahakama ya Haki za Binadamu Duniani imefanya maamuzi ya kisheria kwamba, "ndoa za jinsia moja au za mashoga si haki za binadamu." Hukumu hiyo imetolewa na jopo la majaji 47 wa nchi 47 za Baraza la Haki za Binadamu la Jumuiya ya Ulaya, ambazo ni wanachama wa Mahakama ya Strasbourg.

Mahakama ya Strasbourg ni Mahakama Maalum Duniani katika Masuala ya Haki za Binadamu Wa Kiafrika Katika uamuzi wao, majaji walieleza kuwa “hakuna haki za binadamu katika ndoa za jinsia Katika historia ya uamuzi huo ambalo bado umefichwa, Mahakama iliamua kwamba dhana ya familia si tu inaendana na "dhana ya jadi ya ndoa, yaani, muungano wa mwanaume na mwanamke", lakini pia kwamba haipaswi kuelekezwa ama kulazimishwa Serikali zikubaliane na masuala ya kufunga ndoa za mashoga.”

Kuhusu Kanuni ya kubaguliwa, Mahakama pia iliongeza kuwa hakuna ubaguzi kwa kuwa nchi zinazozuia uhusiano wa jinsia moja ni huru.
“Hukumu ya Mahakama Maalum ya haki za binadamu ya Strasbourg - Ufaransa”
moja/mashoga.”Kauli hiyo ni ya muhimu barani Ulaoya, eneo ambalo lina ushawishi katika masuala ya ndoa za jinsmia moja na limekuwa kimya kuzungumzia uamuzi huo wa Mahakpama baada ya kutolewa.

Kimsingi, hukumu hiyo ilizingatia taarifa za kisayansi na bila shaka, taratibu za kifalsafa na kianthropolojia katika utaratibu wa kawaida, akili ya kawaida,
sheria za kimataifa ndipo hukumu ikatolewa. Hukumu hiyo ilizingatia Ibara ya 12 ya Mkataba wa Binadamu Duniani Haki za yenye matamko yenye muktadha sawa na Ibara mbalimbali za Mikataba ya Kimataifa wa Haki zae Kiraia na ibara namba 23 ya Mkataba wa Haki za Binadamu kama ibara ya 17 ya Mkataba wa San Jose na Kisiasa, 1966.


hakuna haki kwenye ushoga.jpeg

ushoga .jpeg
 
Hii thread ni mfano halisi wa namna Kiingereza kinavyotupiga chenga Watanzania. Eti Breaking News my foot! Kama kawaida areafiftyone kajua kuwateka. Halafu hiyo link iliyowekwa inaonekana hiyo habari ni ya 2017 (mwaka jana) na hiyo blog ya Mbongo imetoa hiyo habari bila kuweka wapi ilizitoa. Hizi habari zilikuwa Breaking News mwaka 2014 (miaka minne iliyopita) na ilihusu rufani ya kesi iliyofunguliwa mwaka 2004 nchini Ufaransa., bonyezeni hapa...


Hata hivyo ukitaka kujua msimamo wa nchi za Ulaya kwa sasa (mwaka 2018) kuhusu kinachoitwa gay marriages unaweza kusoma hapa chini...

Au unaweza kupitia hukumu hii iliyotolewa nchini Uingereza mwaka 2015...




Daah aisee Bongo ni Tabu sana,habari ya miaka sijui mingapi nyuma.....mbaya zaidi imedakwa na vyombo vya habari hapa kwetu wameenda kuandika kama imetoka Jana.

Mko tayari hata kuudanganya umma ili mfikishe propaganda zenu,mna tofauti gani na Nchi za Magharibi ambazo zinalazimisha tuukubali ushoga!!?
 
In the finishing parts of the thread I said this,
"It is important and absolutely necessary to spread this kind of news because governments and sympathizers of such lobbies will not want people to know.
Obviously, it does not interest the media to publicize this news!"
What you are doing is "almost" the same thing.You are trying as much as possible to make gay people believe there is no such ruling and that they are in safe hands.Yes taarifa hii ni ya 2014,lakini nimesema pia kwamba the news media will try to hide this imformation,na kweli wamefanya hivyo.In the interim the news media wakaleta taarifa za kujaribu ku-waterdown rulling ya The International Court of Human Rights.Haya yalitegemewa,lakini hiyo haijafuta ruling ya korti ya dunia ya haki za binadamu,it stands.Kama unataka tuamini kwamba hiyo rulling ya 2014 imefutwa tuletee rulling nyingine ambayo itaonyesha kwamba The International Court of Human Rights wamekula matapishi yao,otherwise it stands.


Wewe obviosly ni sympathizer na kuadi wa the "gay agenda." You are infact assisting world govenments and media which support the gay agenda,like the Telegraph and The Guardian. Hawa ni guardians of the agenda,so what did you expect them do and say,si kuwapa moyo gays kwamba despite the ruling of the International Court of Human Rights you are safe.
Mkuu,una ugonjwa mkubwa wa confirmation bias....unataka sana kile unachomini kiwe kweli.

European Court of Human Rights msimamo wake ni kuwa Nchi yoyote ambayo iko chini ya Europe an Union lazima ikubali na kuheshimu haki za watu wa mapenzi ya jinsia moja.

The Guardian ni chombo cha habari kikubwa sana kupindisha habari kama hii,ingekuwa tayari imeshajulikana na kuumbuliwa

Ila hakuna haja ya kubishana ni kutafuta tu msimamo wa ECJ ni nini kuhusu ndoa/mausiano ya mashoga na ninaamini yanaendana na kilichorepotiwa na The Guardian week chache zilizopita

Gay spouses have rights in all EU countries, says European court official
 
Wameamua vizuri maana hawajafungamana na wamejitoa kwenye lawama kwa pande zote mbili.
Wamesema kuwa nchi pia zina-uhuru wake binafsi kama nchi lakini pia suala la ndoa sio la kuingiliwa...
 
Kama tunakubali kuwa mwanadamu anaweza kuzaliwa mlemavu wa kitu chochote kile kwanini tukatae kuwa hawezi kuzaliwa shoga. Ushoga ni ulemavu kama ulemavu mwingine ingawa sio wote wanazaliwa walemavu, wengine ni sababu zimepelekea kuwa hivyo.
Acheni kutetea upuuzi eti wamezaliwa na ulemavu kwa hiyo na wale wanaowaingilia wamezaliwa na ulemavu wa kuwalawiti wenzao
 
Nadhani makonda angekamaa mashoga kimya kimya wapelekwe kambi za jeshi wapige zoezi miaka miwili ya jkt bongo akuna shoga ni kujilegeza tu kwa vijana na kuiga umeona mmarekan ana lambwa nyuma na vidole na we unaiga matokeo unabadili mchezo nakwambia hao waende kambini akirudi mtu bado shoga basi huyo cjui imekuaje mana hata mwanamke akifanya sana mazoezi anakua dume kwa muda
 
Back
Top Bottom