keithevans2685
Senior Member
- Dec 17, 2014
- 110
- 46
Sidhani kama itasaidia since kuna nchi kibao duniani zinaruhusu mashoga kuingia jeshini na wanapitia mafunzo yote ya kuwa wanajeshi kamili kama wanajeshi ambao ni straight people wanavyofanya.Nadhani makonda angekamaa mashoga kimya kimya wapelekwe kambi za jeshi wapige zoezi miaka miwili ya jkt bongo akuna shoga ni kujilegeza tu kwa vijana na kuiga umeona mmarekan ana lambwa nyuma na vidole na we unaiga matokeo unabadili mchezo nakwambia hao waende kambini akirudi mtu bado shoga basi huyo cjui imekuaje mana hata mwanamke akifanya sana mazoezi anakua dume kwa muda
So kuwaweka jeshini haisaidii,btw hata tukichukua watu kumi ambao ni straight na walikuwa na mademu uraiani,ukiwafungua jeshini na kuwapa mateso kila siku,ukitaka wabadilike wawe mashoga,nina uhakika baadhi yao watakuwa mashoga....
Jela pia,watu kibao wanaingia sio mashoga lakini wakikaa muda mrefu wanaanza kamchezo...
Inaonyesha tu sexuality ya binadamu inaweza kuwa influenced by nature or nurture.