DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,528
- 2,703
Timu ya soka ya Sevilla ya Spain usiku huu imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Europa baada ya kuifunga timu ya Inter Millan kwa magoli 3-2
Magoli ya Sevilla yalifungwa na De Jong (2) na Carlos wakati magoli ya Inter yalifungwa na Lukaku (P) na Godin
Habari zaidi kufuatia.
Magoli ya Sevilla yalifungwa na De Jong (2) na Carlos wakati magoli ya Inter yalifungwa na Lukaku (P) na Godin
Habari zaidi kufuatia.