Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Netherlands washafunga bao la kwanza...Van Nilisterooy!
belo
ndio maana nikamwambia mama kuwa angeanza the The Blues nikiwa maana katika ile nafasi ambayo ametugea sisi AZZURI basi angewapa The Blues,halafu hawa wajeruman huu mwaka sio wao kabisa,yaani mapema watapumzika,kuhusu wahispaniola mie sisemi ila nawahofia
kana ka nsungu tupo pamoja na AZZURI wetu?
Azzuri vipi tena jamani, imekuwaje leo? naona mlileweshwa kisawasawa na muholanzi, poleni jamani ndio game lenyewe hilo mwee!
Germany for EURO 2008 champion! Spain second, Italy third
Mama vipi mambo? Mie nilisema (angalia post # 25), kwamba kwenye dakika 90 za kabumbu chochote kinaweza kutokea. Sasa margin of error ya Italy imekuwa ndogo sana, wale waliopewa nafasi kubwa ya kutwaa Euro cup 2008 sasa wanasua sua, lakini bado wana nafasi kama watafanya vizuri katika mechi zao mbili zilizobakia.
In Football anything can happen during those 90 minutes.... I would like to see entertaining football. I wish England were there too...
Mambo poa Bubu.
Kweli kandanda dakika 90, lkn waitaliano nafasi ubingwa mwaka huu sidhani, labda miujiza ya kisoka itokee. After the second matches among groups mambo ndio yatakuwa matamu hasa kwa hili group la kifo si mbali ni tarehe 13 tu.
I am glad England are not there, the game gets sweet wthout them
wale washabiki wa azzuri sijui ajuzaz wako wapi humu jamaniiii??mbona kimyaa??
LOL!...Mama!.... Nazipa nafasi kubwa Portugal, Germany na Holland.