Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,073
- 304
Mkuu nahisi bingwa atatoka kundi A ama C.......
Yep mkuu my sentiments are similar to you, still naona Portugal ana nafasi kubwa even though nahisi kama wanashida ya striking, lakini with Nani, Ron, Quresma etc viungo ambao wameonesha potential kubwa ktk scoring wanaweza kufika mbali.
Kuhusu England, binafsi apart from the fact that ni mpenzi mkubwa wa EPL lakini i damn hate team yao, they talk talk talk and talk wakati uwanjani sifuriii!!, of coz kama Ka-Nsungu alivyobainisha tuta-miss kelele zao, lakini at the end o f the day tunataka soka yenye ''ladha'', by which England cant offer for us.