Leo nimekutana na watu wengi Sana maeneo mbalimbali wengi wakiwa wakina mama,wanasema wametangaziwa Leo kwenda kupewa hela uwanja wa Taifa,ambazo hazina riba,Nikamuuliza mmoja wao ulishuaona wapi serikali inagawa hela bure?,au mkopo bila riba?Kwa mtazamo wangu nikawaambia someni alama za nyakati,hiki ni kipindi Cha kampeni mtadanganywa sana, Kweli wajinga hawaitaisha.
Zaidi soma;
Zaidi soma;
Dar: Watu wafurika Uwanja wa Taifa ikidaiwa kuwa kuna shirika la Korea linatoa mikopo
Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamejazana katika Uwanja wa Taifa linakofanyika kongamano la ndoa ya familia, huku baadhi wakieleza kuwa wamefika hapo baada ya kusikia habari kuwa itatolewa mikopo kwa familia masikini na wajane. Kongamano hilo limeanza leo asubuhi Jumamosi Agosti 31...
www.jamiiforums.com