Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,428
- 10,188
kumbe hata hela za kutoka nje ya nchi zinawauma? lengo la upinzani ni kuona serikali inakwama ila kwa utawala huu mtapata tabu sana.Ambaye anataka demokrasia akaandamane tumuone,awamu zilizopita mnadai kulikuwa na demokrasia je imetufikisha wapi? IF MAGUFULI IS A DICTATOR LET HIM BE.