Eti wanawake huwa hawacheat

Eti wanawake huwa hawacheat

Kuna wale waume zao,waliugua kisukari na kuwa impotent....ila hapo kabla walikuwa poa na wana watoto.....mke mnashauri amwache mumewe?????...hii ni cheating with reasons scenario lol...........sijui hizo viagra ziko effective kiasi gani....i mean kama zinafanya kazi kwa kila mtu...........ila mimi napenda spices tofauti.......ukiangalia mwanamke reproductive cycle yake ni ndogo kushinda mwanaume.........itafika mahali du.du ya mumeo unaingalia tu....kwa nini nisi enjoy life wakati huu damu moto lol

Nani amekudanganya hujawahi ona mabibi wa 60 wanaolewa jiulize kwa nini?
 
Watu wote wanaotembea nje au waliowahi kutembea nje ya ndoa/mahusiano wana IQ ndogo kuliko wale waaminifu, na mara nyingi huwa ni mataahira, hivyo kama wewe bado haujaingia huu ni USHAURI na usiupuuzie tafute mtu mwenye IQ kubwa na hiki ndio kiwe kigezo chako namba moja, kwani watu wenye IQ kubwa huwa waaminifu siku zote!
 
Back
Top Bottom