Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau! Hivyi hii promotion ya TiGo ya kukwangua kuanzia vocha ya shs 5000/= ndy ushinde mnakubaliana nayo? maana sikatai ila kama kweli dhamira yao ilikuwa kurudisha faida kwa wananchi kupitia zawadi walizotangaza, walau wangeweka hata vocha ya kuanzia shs 2000/= ili wananchi walio wengi ambao hawawezi kuweka vocha ya shs 5000/= nakuendelea kirahisi kutokana na kipato.
kwa maoni yangu, naona wamewakatili watanzania wengi wa hali ya chini.
kwa maoni yangu, naona wamewakatili watanzania wengi wa hali ya chini.