Eti unapendwa?

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
2015 kujiandikisha tu ilikuwa unakutana na bonge moja la foleni kudadeki. Unaamka zako saa 9 au 10 usiku unahisi umewahi ukifika kituoni wewe unakuwa kama mtu wa 500 hivi foleni lake yaani huko.

2020 kujiandikisha tu watu wanapita vituoni kama wanaaga maiti vile, watumishi wamejilalia kwenye meza zao wengine wanapiga stori zao muda hata hauwasikilizi.

Je, bado unapendwa?
 
Kwenye dhana nzima ya mahusiano kuna mambo mawili muhimu sana
Kupendwa kwa hiari ya Moyo na kupendwa kwa lazima
Kwenye kupendwa kwa hiari ya Moyo ni jambo la kiasili lakini kupendwa kwa lazima kuna ahadi za kitapeli
2015 kujiandikisha tu ilikuwa unakutana na bonge moja la foleni kudadeki. Unaamka zako saa 9 au 10 usiku unahisi umewahi ukifika kituoni wewe unakuwa kama mtu wa 500 hivi foleni lake yaani hukoo haaahaaa.

2020 kujiandikisha tu watu wanapita vituoni kama wanaaga maiti vile, watumishi wamejilalia kwenye meza zao wengine wanapiga stori zao muda hata hauwasikilizi.

Je, bado unapendwa?

Jr
 
Ha ha ha ha hoja dhaifu sana toka kwa mtu anayejiita great thinker. Hebu rudi kwenye takwimu za 2015 uone waliojiandikisha ni wangapi na hivyo hivyo 2010, halafa angalia waliokwenda kupiga kura, utagundua wanaojiandikisha ni wengi ila wanaokwenda kupiga kura ni wachache na mwaka 2010 ndo kabisa walitia fola, waliopiga kura walikuwa wachache hadi watu wakohoji uhalali wa Rais aliyeshinda.
Watanzania akili zao wanazijua wenyewe.

Kwa ufupi miaka ya nyuma watu walijitokeza kujiandikisha kwa wingi kwa kuwa kitambulisho cha kura ndo ilikuwa kila kitu, kusajiri laini, kufungua akaunti benki na sehemu nyingine nyingi.

Kwa hiyo watu walijiandikisha kwa nia ya kupata kitambulisho ili kuwarahisishie mambo yao na si kupiga kura.

Kwa Sasa Kitambulisho cha Taifa ndo habari ya mjini, kimereplace cha kupiga kura kwa kila kitu, ndo maana foleni huko hazikauki, kitambulisho cha kupigia Kura kwa Watanzania siyo issue tena.

Inashangaza sana kwamba hili watu hamlioni halafu na nyie mnajiita great thinker! Acheni chuki ili mziruhusu Bongo zenu kufanya kazi vizuri.Ama kweli watu mlienda shule kusomea ujinga!
 
Kwenye dhana nzima ya mahusiano kuna mambo mawili muhimu sana
Kupendwa kwa hiari ya Moyo na kupendwa kwa lazima
Kwenye kupendwa kwa hiari ya Moyo ni jambo la kiasili lakini kupendwa kwa lazima kuna ahadi za kitapeli

Jr

Kwenye hiyo kupendwa kwa lazima ubabe na hata mauaji hutumika ili kukubalika. Ndio maana unaona hawataki kitu kinaitwa tume huru ya uchaguzi, maana dalili ziko wazi kwamba watu hawaitaki ccm.
 
Ha ha ha ha hoja dhaifu sana toka kwa mtu anayejiita great thinker. Hebu rudi kwenye takwimu za 2015 uone waliojiandikisha ni wangapi na hivyo hivyo 2010, halafa angalia waliokwenda kupiga kura, utagundua wanaojiandikisha ni wengi ila wanaokwenda kupiga kura ni wachache na mwaka 2010 ndo kabisa walitia fola, waliopiga kura walikuwa wachache hadi watu wakohoji uhalali wa Rais aliyeshinda.
Watanzania akili zao wanazijua wenyewe.

Kwa ufupi miaka ya nyuma watu walijitokeza kujiandikisha kwa wingi kwa kuwa kitambulisho cha kura ndo ilikuwa kila kitu, kusajiri laini, kufungua akaunti benki na sehemu nyingine nyingi.

Kwa hiyo watu walijiandikisha kwa nia ya kupata kitambulisho ili kuwarahisishie mambo yao na si kupiga kura.

Kwa Sasa Kitambulisho cha Taifa ndo habari ya mjini, kimereplace cha kupiga kura kwa kila kitu, ndo maana foleni huko hazikauki, kitambulisho cha kupigia Kura kwa Watanzania siyo issue tena.

Inashangaza sana kwamba hili watu hamlioni halafu na nyie mnajiita great thinker! Acheni chuki ili mziruhusu Bongo zenu kufanya kazi vizuri.Ama kweli watu mlienda shule kusomea ujinga!

Unaweza kuwa umetumia sababu hiyo ili kupindisha ukweli, lakini ukweli ni kuwa watu wamechoka siasa za kulazimishwa kuikubali ccm. Ni kweli siku za nyuma wengi walijiandikisha ili kupata vitambulisho na sasa wana vya taifa, lakini mbali ya hayo hamasa ilikuwepo ya kwamba kuna uchaguzi. Ila kwa sasa hiyo hamasa haipo na wala haina uhusiano wowote na kupata kitambulisho.

Hata hivyo tunaambiwa sasa hivi ccm inakubalika sana hasa Magufuli, ni kipi kinafanya watu wasiwe na hamasa naye wala uchaguzi, zaidi ya mikutano ambayo watu wengi hulazimishwa kushiriki ili kuhadaa umma kuwa anakubalika? Ni hivi, watu wanataka sana kushiriki uchaguzi ili wapate viongozi wawatakao na sio wanaotakiwa na Magufuli, lakini kwakuwa tume ya uchaguzi haiko huru, hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuishiriki uchaguzi wa kishenzi.
 
Ha ha ha ha hoja dhaifu sana toka kwa mtu anayejiita great thinker. Hebu rudi kwenye takwimu za 2015 uone waliojiandikisha ni wangapi na hivyo hivyo 2010, halafa angalia waliokwenda kupiga kura, utagundua wanaojiandikisha ni wengi ila wanaokwenda kupiga kura ni wachache na mwaka 2010 ndo kabisa walitia fola, waliopiga kura walikuwa wachache hadi watu wakohoji uhalali wa Rais aliyeshinda.
Watanzania akili zao wanazijua wenyewe.

Kwa ufupi miaka ya nyuma watu walijitokeza kujiandikisha kwa wingi kwa kuwa kitambulisho cha kura ndo ilikuwa kila kitu, kusajiri laini, kufungua akaunti benki na sehemu nyingine nyingi.

Kwa hiyo watu walijiandikisha kwa nia ya kupata kitambulisho ili kuwarahisishie mambo yao na si kupiga kura.

Kwa Sasa Kitambulisho cha Taifa ndo habari ya mjini, kimereplace cha kupiga kura kwa kila kitu, ndo maana foleni huko hazikauki, kitambulisho cha kupigia Kura kwa Watanzania siyo issue tena.

Inashangaza sana kwamba hili watu hamlioni halafu na nyie mnajiita great thinker! Acheni chuki ili mziruhusu Bongo zenu kufanya kazi vizuri.Ama kweli watu mlienda shule kusomea ujinga!
Mkuu;
Ninakushukuru kwa kutoa somo bila malipo!

Hawa vijana ambao wengi wao bado wananuka maziwa ya mama hawana uelewa wa historia achilia mbali uwezo wa kuchanganua na kuchambua masuala ili kufikia hitimisho la uhakika!

Halafu huyu kijana anadhani kujiandikisha ni kuwapa kura walioko madarakani! Hajui kuwa kujiandikisha na kupiga kura ni vitu viwili tofauti lakini kikubwa zaidi, kupiga kura ni kuwachagua wale wanaogombea ambao ni waliokuwa madarakani na wanaotaka kuingia madarakani.
 
Mkuu;
Ninakushukuru kwa kutoa somo bila malipo!

Hawa vijana ambao wengi wao bado wananuka maziwa ya mama hawana uelewa wa historia achilia mbali uwezo wa kuchanganua na kuchambua masuala ili kufikia hitimisho la uhakika!

Halafu huyu kijana anadhani kujiandikisha ni kuwapa kura walioko madarakani! Hajui kuwa kujiandikisha na kupiga kura ni vitu viwili tofauti lakini kikubwa zaidi, kupiga kura ni kuwachagua wale wanaogombea ambao ni waliokuwa madarakani na wanaotaka kuingia madarakani.

Hoja yako ni nini hapa ww kijana?
 
2015 kujiandikisha tu ilikuwa unakutana na bonge moja la foleni kudadeki. Unaamka zako saa 9 au 10 usiku unahisi umewahi ukifika kituoni wewe unakuwa kama mtu wa 500 hivi foleni lake yaani huko.

2020 kujiandikisha tu watu wanapita vituoni kama wanaaga maiti vile, watumishi wamejilalia kwenye meza zao wengine wanapiga stori zao muda hata hauwasikilizi.

Je, bado unapendwa?
Hili ndilo eneo la kwanza ambalo wapinzani wanafanya makosa, CCM inahamasisha wanachama, wafuasi na washabiki wake, siku ya kupiga kura wanakuwa tayari wana mtaji wa kutosha wa kura za uhakika. Upinzani wao wanalala tuu, halafu wakitegemea kushinda uchaguzi, sasa watashinda kwa mtaji gani?!.
P
 
Hakuna mtu aliwahi kupigwa risasi au nduguye kuozea magereza kwa hila au kuuwawa naye akampiga busu muuaji!
Sisi tunafahamu hatujawahi kumpenda wala haitatokea tukampenda iwe mvua au jua abadani!
Waovu hupenda waovu wenzao na sisi si miongoni mwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili ndilo eneo la kwanza ambalo wapinzani wanafanya makosa, CCM inahamasisha wanachama, wafuasi na washabiki wake, siku ya kupiga kura wanakuwa tayari wana mtaji wa kutosha wa kura za uhakika. Upinzani wao wanalala tuu, halafu wakitegemea kushinda uchaguzi, sasa watashinda kwa mtaji gani?!.
P

Paskali hakuna mtu ana muda wa kushiriki uchaguzi wa kishenzi na wala tatizo sio uhamasishaji. Tuna uelewa wa kutosha, ukiona watu hawajitokezi sio kwakuwa hawahamisishwi, bali ni kwakuwa tumepuuza zoezi zima la uchaguzi mara baada ya Magufuli kuingia madarakani, kwani yeye hasa ndio sababu ya chaguzi zetu kuwa za kipuuzi. Wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa, Mbowe na Halima Mdee walihamasisha watu wajitokeze kujiandikisha na wala hatukwenda na tukawaambia fika hatushiriki chaguzi za kishenzi. Kwa hiyo tunakusihi usipotoshe eti kuwa ccm wanahamasisha watu wao, wakati iko wazi kuwa bila tume huru ya uchaguzi hatushiriki ushenzi wowote uitwao uchaguzi.
 
Hili ndilo eneo la kwanza ambalo wapinzani wanafanya makosa, CCM inahamasisha wanachama, wafuasi na washabiki wake, siku ya kupiga kura wanakuwa tayari wana mtaji wa kutosha wa kura za uhakika. Upinzani wao wanalala tuu, halafu wakitegemea kushinda uchaguzi, sasa watashinda kwa mtaji gani?!.
P
Mkuu polisi polisi, hawana jinsi
 
Back
Top Bottom