Eti turudi kijijini!

Eti turudi kijijini!

Slave

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
5,313
Reaction score
2,651
Kama ndo maisha yenyewe ya kijijini ndo haya mie sirudi kijijini.
 

Attachments

  • Kijjini.jpg
    Kijjini.jpg
    417.6 KB · Views: 341
Mkuu tatizo nini hapo, ndo maisha niliokulia hayo.umezaliwa na kukulia upanga east nini!??
 
Mkuu tatizo nini hapo, ndo maisha niliokulia hayo.umezaliwa na kukulia upanga east nini!??

japo sio upanga east lakini maisha kama haya sio kabisa kwani yanatugawa makundi,embu fikiria huyu mtoto mpaka umri huu hajaanza kusoma na hatarajii,huku nimeshuhudia ndoa za watoto wengi wenye umri chini ya 15 achana na 18 watoto wengi wamedumaa kwa kuzalishwa wakiwa wadogo.mkuu hilo linaweza kuwa tatizo la wazazi lakini pia serikali inahusika kwa kutowasaidia wanakijiji kwa kuwapa elimu pamoja na kuwapendezeshea vijiji ili wa mjini watamani kuishi huko.
 
Mbona ukiwa kijijini life unaliona poa tu...tena ukisikia neno "mjini" unaona kama ukienfa huko utajifunza mambo mabaya na kuambulia ngoma...
 
We mzaramo wa k.koo nn? Au ****** wa bwagamoyo?

tena wewe fidel80 ndo tunataka uanze kwenda kijijini kwanza.nitakupa na yale ma trekta yaliyopo kule dodoma kilimo kwanza.
 
Mbona ukiwa kijijini life unaliona poa tu...tena ukisikia neno "mjini" unaona kama ukienfa huko utajifunza mambo mabaya na kuambulia ngoma...

wamejilizisha tu,ila nao hawapendi kuishi hivyo,
 
TATIZO KUNA MAKABILA MENGINE NTURALLY HAMPENDI KWENU,MKITOKA HAMRUDI TENA,NA MNAWASAHAU,angalieni watu kutoka Kigoma,Kilimanjaro,Arusha, na Mara wanavyopenda kwao,na panaendelea kila siku,,,nyumbani ni nyumbani tu,hata iwe pangoni,hata siku moja usidharau utokapo
 
japo sio upanga east lakini maisha kama haya sio kabisa kwani yanatugawa makundi,embu fikiria huyu mtoto mpaka umri huu hajaanza kusoma na hatarajii,huku nimeshuhudia ndoa za watoto wengi wenye umri chini ya 15 achana na 18 watoto wengi wamedumaa kwa kuzalishwa wakiwa wadogo.mkuu hilo linaweza kuwa tatizo la wazazi lakini pia serikali inahusika kwa kutowasaidia wanakijiji kwa kuwapa elimu pamoja na kuwapendezeshea vijiji ili wa mjini watamani kuishi huko.

Slave umeshawahi kujiuliza tatizo liko wapi..
 
Last edited by a moderator:
Slave umeshawahi kujiuliza tatizo liko wapi..

tatizo mie nadhani ni miundo mbinu mibovu huko vijijini watu kweli wanalima lakini hayo mazao watayapelekaje sokoni? Ndo hapo mzee mwenye mji inabidi aamrishe familia nzima mama,watoto,wajukuu kubeba kila mtu kiasi chochote cha mazao kupeleka sokoni,je shule huyo mtoto ataenda saa ngapi?japo sio vizuri kuitupia kila kitu serikali lakini nayo inahusika.tazama ma trekta yaliyopo kule dodoma mpaka yanapata kutu wakati waliyaleta kwa lengo la wakulima.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom