englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
Tu ache kudanganyana kwa mfumo wetu wa siasa na uchumi wa sasa bush noma,kama umestaafu kazi ukaenda bushi pension ikiisha nawewe unakufa.
una uhakika kiongozi kuwa hajaanza shule na hatarajii!!huoni anajifunza mafunzo ya vitendo baada ya kutoka shule!!!japo sio upanga east lakini maisha kama haya sio kabisa kwani yanatugawa makundi,embu fikiria huyu mtoto mpaka umri huu hajaanza kusoma na hatarajii,huku nimeshuhudia ndoa za watoto wengi wenye umri chini ya 15 achana na 18 watoto wengi wamedumaa kwa kuzalishwa wakiwa wadogo.mkuu hilo linaweza kuwa tatizo la wazazi lakini pia serikali inahusika kwa kutowasaidia wanakijiji kwa kuwapa elimu pamoja na kuwapendezeshea vijiji ili wa mjini watamani kuishi huko.
Kwenu itakuwa GAMBOSHI[/QUOTE]
Huo mji nasikia ni noma... natamani one day niutembelee kama mtalii wa ndani. Ili nihakikishe yanayosemwa ni ya kweli?
japo sio upanga east lakini maisha kama haya sio kabisa kwani yanatugawa makundi,embu fikiria huyu mtoto mpaka umri huu hajaanza kusoma na hatarajii,huku nimeshuhudia ndoa za watoto wengi wenye umri chini ya 15 achana na 18 watoto wengi wamedumaa kwa kuzalishwa wakiwa wadogo.mkuu hilo linaweza kuwa tatizo la wazazi lakini pia serikali inahusika kwa kutowasaidia wanakijiji kwa kuwapa elimu pamoja na kuwapendezeshea vijiji ili wa mjini watamani kuishi huko.