mchapa shughuli
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 549
- 422
Habari za kuaminika zimepatikana yule dada aliyesumbua magazetini maarufu kama Sinta ndoa yake aliyofunga na kijana wa kiganda mwaka 2009 imefunjika na amerejea rasmi jijini Dar.
mhh kama ni ukweli hongera yake
mhh kama ni ukweli hongera yake
una uhakika?Hongera ya nini wakati hii ni failure kubwa sana katika maisha for whatever reason
100% uhakika,ndoa haijaribiwi na wala haitaniwagi..kama vp utaona kama ataondoka tena Daruna uhakika?
sijaona kama ni issue hiyo kwani yeye ndo wakwanza kuachika? OK KAMA AMEACHIKA SO??????
habari za kuaminika zimepatikana yule dada aliyesumbua magazetini maarufu kama sinta ndoa yake aliyofunga na kijana wa kiganda mwaka 2009 imefunjika na amerejea rasmi jijini dar.
ha ha haaaaa, yaani wewe mwenzako kamwagwa unampa hongera!!!