Eti nimfanyaje huyu?

Eti nimfanyaje huyu?

Ngoja kwanza, usifanye unyama wewe tuliza akili vinginevyo utakuja jijutia
 
usilipize ubaya kwa ubaya vitu mwachie kwani mwanao nae atahusika kuvitumia endelea kujipanga mambo yako yakikaa sawa atakutafuta tu
 
Wadau nina mpenzi wangu ambae anasoma chuo kiukweli katumia pesa zangu sana tu mpaka akafikia kunizalia mtoto, sasa pesa zimekata na nyumba niliyopanga nikarudisha nikarudi home kujipanga upya nikiwa nae, kapata pesa akanambia kapanga nyumba kwaiyo nipeleke vitu tuka ishi wote tena.

Chakushangaza ile namaliza kuingiza vitu ndani tunatoka kwenda kula ananambia pale ni kwake na vile vitu nisahau vitakuwa vya mtoto ila nikitaka kumuona mtoto niende muda wowote ila siyo kwetu tena ni kwake na mtoto wadau nimfanyaje huyu kabla sijafanya unyama.

Naomba mawazo yenu kwanza.

hahahaha pole aisee..... sasa mtoto ana share vitu na wewe..... aache ujinga,,, kata makofi na mabanzi ya maana asipokuambia kwann kaamua kusema hivyo.... na sababu iwe ya maana..... nahisi vitu vyako mkuu anataka viwe zawad kwa huyo aliyempangia nyumba
 
mwachie bhaana! jipange utanunua ka subwoofer kengine ...........

Grand PA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom