kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
Kuwa huko Tanzania ,kuna waziri mmoja ana sura mbaya, kiasi kwamba siku moja alienda kufungua mradi wa visima vya maji kijijini kwao katika uzinduzi aligoma kuzindua visima hivyo baada ya kuchungulia ndani ya kisima na kuona sura ya mnyama flani na kudai kuwa hawezi kuzindua kisima na kuruhusu wana kijiji watumie maji hayo kwavile huko ndani ya kisima kuna mnyama. kumbe ni sura yake mwenyewe?