Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,712
- 19,835
Kuna mtu hapa jamvini (simkumbuki) aliwahi ku-comment kwamba inatakiwa mwanamke asikuelewe, yaani uwe kinyonga. I think this is what you mean hapo kwa red ya kwanza
Hiyo red kubwa hapo chini inasomeka vema
Nashukuru kwa uekewa wako mzuri