Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,844
Hiyo ni kauli ya dada mmoja hivi jirani yangu niliyemsikia akiongea kwenye simu!
Na huyo wa 'nyumbani' si mwingine bali ni yule mgombea urais kupitia CCM.
Huyu mdada anatokea huko kanda ya ziwa. Pia, jana niliongea na mtu wangu wa karibu aliyeko pande za Simiyu huko na akanambia kuwa mwelekeo wa watu wengi huko ni kumpigia kura mgombea wa CCM kwa kutumia hiyo sababu ya wa 'nyumbani'.
Sasa mimi sielewi kabisa.
Hivi ina maana rais akiwa ni wa 'nyumbani' ndo shida za watu wa 'nyumbani' zitaisha au?
Kama hazitaisha, kuna nini kingine katika kumpigia kura huyo mtu wa 'nyumbani'?
Na huyo wa 'nyumbani' si mwingine bali ni yule mgombea urais kupitia CCM.
Huyu mdada anatokea huko kanda ya ziwa. Pia, jana niliongea na mtu wangu wa karibu aliyeko pande za Simiyu huko na akanambia kuwa mwelekeo wa watu wengi huko ni kumpigia kura mgombea wa CCM kwa kutumia hiyo sababu ya wa 'nyumbani'.
Sasa mimi sielewi kabisa.
Hivi ina maana rais akiwa ni wa 'nyumbani' ndo shida za watu wa 'nyumbani' zitaisha au?
Kama hazitaisha, kuna nini kingine katika kumpigia kura huyo mtu wa 'nyumbani'?