Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,103
- 136,763
- Thread starter
- #21
Unashangaa mpe wa nyumbani wakati Lowassa anasema walutheri wampe kura kwa kuwa yeye ni mlutheri.
Hilo halikupi shida?
Yote shida tu hadi nishakata tamaa kabisa na haya mambo!
Sasa sijui Uluteri na Unyumbani unahusika vipi na maslahi ya umma?