Eti 'Mpe wa Nyumbani Yule'.....

Eti 'Mpe wa Nyumbani Yule'.....

Hiyo ni kauli ya dada mmoja hivi jirani yangu niliyemsikia akiongea kwenye simu!

Na huyo wa 'nyumbani' si mwingine bali ni yule mgombea urais kupitia CCM.

Huyu mdada anatokea huko kanda ya ziwa. Pia, jana niliongea na mtu wangu wa karibu aliyeko pande za Simiyu huko na akanambia kuwa mwelekeo wa watu wengi huko ni kumpigia kura mgombea wa CCM kwa kutumia hiyo sababu ya wa 'nyumbani'.

Sasa mimi sielewi kabisa.

Hivi ina maana rais akiwa ni wa 'nyumbani' ndo shida za watu wa 'nyumbani' zitaisha au?

Kama hazitaisha, kuna nini kingine katika kumpigia kura huyo mtu wa 'nyumbani'?

Sijui nimefika fikaje kwenye hii thread....... na hata sijui hata naandika nini......

Hello boy, think I miss ur jargon......
as usual Kasie.
 

we na gazeti la uhuru ni sawa tu, malaika gani aliyemkataa lowasa, ushamuona huyo malaika, hao si walevi tu wanaropoka, anayefaa ni nani sasa, kwa mtazamo wako, hata shetani mumuweke akishindwa basi rudini kule kule, ila sio hawa jamaa washaumiza sana, kila nikitizama hapa hakuna ushabiki ni wananchi wanavyonyanyaswa ndani ya nchi yao, wanamchafua baba wa watu kwa sababu ya madhambi yao, akija ongea na yeye, nchi itazizima hii, kuna wengi wanataka kutoka lakini wanashindwa kuwa wakitoka tu ndio umma utajua madhambi yao, ccm hakuna msafi faizafoxy, sina muda nitaenda ishi rwanda manake nishanunua kiwanja huko niko mbioni kujenga, lakini tz nitakuwa nakuja ka mtalii, aibuuuuu, ni kipi cha kujivunia hapa tz sisi, kuna watu wanajiona wao ni miungu watu,
 
Na Je akija na agenda mbovu na ambazo hazita leta maendeleo yeyote kwao Je bado watampigia kura?
 
mmmh naona umeamua ufukue kaburi!
Huu uzi unawafaa sana kwasasa hao waliokuwa wanazungumza!
 
Back
Top Bottom