Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

kuna binti amemaliza form six mwaka huu alimwambia mshikaji kuwa no game mpaka waanze chuo, na siku zote alikuwa anamwambia mshikaji kuwa ni bikra.

Sasa tarehe za chuo zimekaribia binti anadai anahisi bikra yake ilitoka kule jeshini sababu ya mazoezi na kazi ngumu kwani alitoka damu sana.

Hii imekaaje.
Sasa mkuu mdukuzi wewe unadhani kwa libeneke kama hili #BK iendelee kubaki kweli? kwani #BK yenyewe haijipendi..... yani hapo inatoka taratiiibu mpaka mwisho kisha mambo yanakuwa manu manu (mpaka kariakoo) kama kawa. Chezea kazi ya #jeshi
 

Attachments

  • JKF.jpg
    JKF.jpg
    23.7 KB · Views: 307
  • JKKT.jpg
    JKKT.jpg
    11.8 KB · Views: 298
  • JKT.jpg
    JKT.jpg
    10.9 KB · Views: 271
  • JKTT.jpg
    JKTT.jpg
    26.5 KB · Views: 241
Last edited by a moderator:
Sasa mkuu mdukuzi wewe unadhani kwa libeneke kama hili #BK iendelee kubaki kweli? kwani #BK yenyewe haijipendi..... yani hapo inatoka taratiiibu mpaka mwisho kisha mambo yanakuwa manu manu (mpaka kariakoo) kama kawa. Chezea kazi ya #jeshi
maweeee hawa ni makomandoo wa marekani au wabongo,hapo bk lazima iachie kwa kweli du
 
Hawa fresherz wanaotoka JKT ni michepuko ya wajeda tuu.yani tena kijeshi Hamna hata romance wala foreplay ni kugonganisha vikojoleo tu
...
Dadeki
 
Sasa mkuu mdukuzi wewe unadhani kwa libeneke kama hili #BK iendelee kubaki kweli? kwani #BK yenyewe haijipendi..... yani hapo inatoka taratiiibu mpaka mwisho kisha mambo yanakuwa manu manu (mpaka kariakoo) kama kawa. Chezea kazi ya #jeshi

Kwa mwendo huu baadae hawa watu wakose ajira hakika tutakuwa na majambazi sugu tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom