Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

Mazoezi ni sababu mojawapo ya bikira kutoka huo ni ukweli.
Pia kwa kuwa hawajaoana huyo jamaa kama ana wasiwasi naye amwache kwa amani kuliko kumchukua huku
akiwa hajiamini itawaletea shida mbeleni.

mmmmmhhhhh
 
Ni wapi ambapo ni salama kwa mabikra? Siyo tu tuanze kuwasakama wanajeshi eti ndiyo wametoa bikra yake kwanza inawezekana hata hakwenda nayo.
 
huyu watakuwa walimtumia usiku bila yeye kujua mpe pole kama yupo humu JF anicheki PM ntampa dawa za kurudisha bikra bure
 
Haaaaaa ukiona manyoya ujue kaliwa hiyo kitu ipo mbali hata mwanaume kuitoa unatoka jasho iweje mguu pande mguu sawa itowe bikra muongo huyo.
 
afande kala utamu kiulaini wewe subiria arudi chuo umuoe tuu
 
Kwanza kweli alikwenda na bikira yake huko jkt? Na bikira ni kutoka damu Tu? alijuaje kama damu inayotoka ni ya bikira na siyo ya mzunguko wa mwezi, huwa inatokea mwanamke Mara moja moja kutoka damu mfululizo tofauti na alivyokuwa anapata miezi mingine, na kama suala la yeye kutoka damu haliondoi uhalisia wa yeye kuwa hajawahi kuingiliwa ladha itabaki ileile maumivu atayaona kama kawaida, ila niangalia kwa jicho la tatu kwa nini anatolea ufafanuzi wa bikra yake kabla hajakutana inakuwa kama anajihami mapema kama ukikuta shimo atakwambi si umeona bikra ilishatoka, mkimbie maana hana ukweli
 
imani yangu kubwa ni kweli tunda limemegwa jkt, huko twapajua wenyeji.
kuna mikwara ya nguvu lazima chupi ishushwe akitakwa.

mfano dent wa 4rm1 na ugeni wake akitakwa na form4 huwa inakuaje! na JKT ni kwa watu wazima.

natumai nimeeleweka vyema
 
kuna kabinti kamemaliza form six mwaka huu kalimwambia mshikaji kuwa no game mpaka waanze chuo, na siku zote kalikuwa kanamwambia mshkaji kuwa ni bikra.sasa tarehe za chuo zimekaribia binti anadai anahisi bikra yake ilitoka kule jeshini sababu ya mazoezi na kazi ngumu kwani alitoka damu sana,hii imekaaje

Ashatapeliwa huyo aanze tu kuitafuta nyingine
 
Kwanza kweli alikwenda na bikira yake huko jkt? Na bikira ni kutoka damu Tu? alijuaje kama damu inayotoka ni ya bikira na siyo ya mzunguko wa mwezi, huwa inatokea mwanamke Mara moja moja kutoka damu mfululizo tofauti na alivyokuwa anapata miezi mingine, na kama suala la yeye kutoka damu haliondoi uhalisia wa yeye kuwa hajawahi kuingiliwa ladha itabaki ileile maumivu atayaona kama kawaida, ila niangalia kwa jicho la tatu kwa nini anatolea ufafanuzi wa bikra yake kabla hajakutana inakuwa kama anajihami mapema kama ukikuta shimo atakwambi si umeona bikra ilishatoka, mkimbie maana hana ukweli
wewe nimekusoma kabisa inawezekana hakuwa nayo sasa anajihami ili siku ya siku aseme senikkwambia kuhusu kule jeshini
 
Damu ilfanyajeee.............................nyingiii?
Mmmmmmn ngastuka machale kundesaa,ukiona bendera ya pepea nusu mlingoti............?
CC Mamaaafacebook
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom