Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

Eti mazoezi ya JKT yametoa bikra yake

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,973
kuna binti amemaliza form six mwaka huu alimwambia mshikaji kuwa no game mpaka waanze chuo, na siku zote alikuwa anamwambia mshikaji kuwa ni bikra.

Sasa tarehe za chuo zimekaribia binti anadai anahisi bikra yake ilitoka kule jeshini sababu ya mazoezi na kazi ngumu kwani alitoka damu sana.

Hii imekaaje.
 
wanajeshi washakula vyao!!
siku hz kuna njia nyingi za kuwapooza wanajeshi ikiwemo hii ya kuwapelekea vibinti huko huko!!!
aseme tu ukweli kama katiwa na wajeda maana sio mmoja!!!
 
Hahahaaa sasa mlitaka mtoto wa watu apate mateso wakati kitendea kazi anacho?,wanaojua jkt dogo kagegedwa huyo
 
kuna kabinti kamemaliza form six mwaka huu kalimwambia mshikaji kuwa no game mpaka waanze chuo, na siku zote kalikuwa kanamwambia mshkaji kuwa ni bikra.sasa tarehe za chuo zimekaribia binti anadai anahisi bikra yake ilitoka kule jeshini sababu ya mazoezi na kazi ngumu kwani alitoka damu sana,hii imekaaje
Mazoezi ni sababu mojawapo ya bikira kutoka huo ni ukweli.
Pia kwa kuwa hawajaoana huyo jamaa kama ana wasiwasi naye amwache kwa amani kuliko kumchukua huku
akiwa hajiamini itawaletea shida mbeleni.
 
Hahahaaa sasa mlitaka mtoto wa watu apate mateso wakati kitendea kazi anacho?,wanaojua jkt dogo kagegedwa huyo

bora useme wewe!!!
jeshini kuna siri nyingi mabinti wanatiwa sana kule!!!!
 
wanajeshi washakula vyao!!
siku hz kuna njia nyingi za kuwapooza wanajeshi ikiwemo hii ya kuwapelekea vibinti huko huko!!!
aseme tu ukweli kama katiwa na wajeda maana sio mmoja!!!
ehehehe
 
Mazoezi ni sababu mojawapo ya bikira kutoka huo ni ukweli.
Pia kwa kuwa hawajaoana huyo jamaa kama ana wasiwasi naye amwache kwa amani kuliko kumchukua huku
akiwa hajiamini itawaletea shida mbeleni.
yuko humu jamvini ujumbe umemfikia
 
Hiko kitu kikiwa kimetoka kwa njia tofauti na ile inayotakiwa.
Basi lazima akianza hayo mambo bado mwanaume atapata shida lazima ahangaike kwanza kuifanya njia iwe kubwa ,hivyo atagundua tu kama ni ukweli au vipi
 
HAYA SASA!!! kua makini
,,,,,Katiba mpya ya TANZANIA, Ukimpa Mwanafunzi Mimba, unaenda shule wewe mpaka ajifungue!!!.
 
hayo mazoezi alikuwa anafanya uchi ndio maana bikira imetoka
 
wanajeshi washakula vyao!!
siku hz kuna njia nyingi za kuwapooza wanajeshi ikiwemo hii ya kuwapelekea vibinti huko huko!!!
aseme tu ukweli kama katiwa na wajeda maana sio mmoja!!!

Hapa kuna ukweli.
 
Mwambie jamaa aonje aone breki ni p.u.mbu.akicheza hata pu.m.bu zinazama.
 
Back
Top Bottom