Eti Marekani imeshindwa kuipata hii ndege

Eti Marekani imeshindwa kuipata hii ndege

Lovebird

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2012
Posts
6,754
Reaction score
10,184
Kama waliweza kumpata osama sembuse ndege?



oba.jpg
 
Hakuna mafuta, madini wala kitu chochote cha kuwanufaisha kwa hiyo hawana haja ya kuvuja jasho bure! Hata hizo ndege na manowari wanazipeleka basi tu
 
Wajinga ndio waliwao! Osama hakukamatwa na wamarekani. Tukio lilitengenezwa ili Obama apite kwenye uchaguzi!
 
Janja janja wanawapoteza tu huku wanakotafuta wala hakuna dalili ni mbali sana kuliko uwezo wa mafuta yaliyokuwa kwenye ndege kufika huko, malaysia wameshtuka wala hawaconcetrate nahuo utafutaji kwani wanaamini kuw ndege ipo somewhere na huenda kuna ukweli kwenye hili tusubiri.
 
Ndani ya ndege ile walikuwemo wafanyakazi 20 wa naofanyia kampuni ya Freescale ambayo hujihusisha na software engineering and cyberwarfare,kampuni hiyo ni ya kimarekani na kina bush wako na hisa mle.
Hao wafanyakazi asilimia kubwa miongoni mwao walikuwa ni wenye asili ya kichina.
Hiyo kampuni ya freescale ilikua inafanyia kazi software fulani ambayo ingeweza kuwa na uwezo wa kuingilia rada za kijeshi na kuzimanipulate kwahiyo ilikua ni hotcake kwamambo ya usalama.
Inasemwa yaweza kuwa hao wafanyakazi walitaka kwenda kuuza technology hiyo china kwahiyo ilibidi wazuiwe kwa hali na mali kukanyaga ardhi ya china.kundi la watu kama hao ingekua ngumu kuwamaliza kwa risasi,ikabidi itengenezwe ajali.
Nimesoma sehemu nikipata link ntaiweka.
 
Kazi Kweli na hawa wamarekan wallah bora yule aliyekuwa kiboko yao angekuwepo kuendelea kuwadisplin....I mean osama
 
Ndani ya ndege ile walikuwemo wafanyakazi 20 wa naofanyia kampuni ya Freescale ambayo hujihusisha na software engineering and cyberwarfare,kampuni hiyo ni ya kimarekani na kina bush wako na hisa mle.
Hao wafanyakazi asilimia kubwa miongoni mwao walikuwa ni wenye asili ya kichina.
Hiyo kampuni ya freescale ilikua inafanyia kazi software fulani ambayo ingeweza kuwa na uwezo wa kuingilia rada za kijeshi na kuzimanipulate kwahiyo ilikua ni hotcake kwamambo ya usalama.
Inasemwa yaweza kuwa hao wafanyakazi walitaka kwenda kuuza technology hiyo china kwahiyo ilibidi wazuiwe kwa hali na mali kukanyaga ardhi ya china.kundi la watu kama hao ingekua ngumu kuwamaliza kwa risasi,ikabidi itengenezwe ajali.
Nimesoma sehemu nikipata link ntaiweka.


Conclusion ya haraka haraka ni kuwa kuna elements nyingi kuhusu huu mkasa zinafichwa na mamlaka husika. Ngoja tuone hitimisho lake.
 
Kama waliweza kumpata osama sembuse ndege?



View attachment 146649

Osama alikufa zaman baada ya kuugua ila serikali ya marekani ilichofanya baada ya kujiridhisha kuwa jamaa hayupo tena dunian walitengeneza mazingira ya uongo kuondoa aibu ya kushindwa kumkamata pamoja na kutumika kwa nguvu zao zote na kuua raia wengi wasio na hatia
 
Back
Top Bottom