Eti Marekani imeshindwa kuipata hii ndege

Eti Marekani imeshindwa kuipata hii ndege

Kama hawakumpata aliyeuawa Ni nani?? Na kama Yupo kwanini hajajitokeza kujibu kua madai ya marekani??

Alikufa zamani sana kabla ya Wamerekani kujidai eti wamempata wamemuuwa.
 
Na kama alikufa zaman Kwann familia yake au alqaida haikusimama kupinga Habar ya marekan?

osama alikufa zamani sana kwa ugonjwa wa kawaida. marekani wamewadanganya mataahira wanaowaamini
 
Wajinga ndio waliwao! Osama hakukamatwa na wamarekani. Tukio lilitengenezwa ili Obama apite kwenye uchaguzi!

Hii ni kutoka kijiwe cha kahawa cha bbc Nzega kwa washauri wa Kigwangala?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hii ndege marekani anahusika anatafutia sababu ya kuivamia nchi aloipanga yy
 
Ndani ya ndege ile walikuwemo wafanyakazi 20 wa naofanyia kampuni ya Freescale ambayo hujihusisha na software engineering and cyberwarfare,kampuni hiyo ni ya kimarekani na kina bush wako na hisa mle.
Hao wafanyakazi asilimia kubwa miongoni mwao walikuwa ni wenye asili ya kichina.
Hiyo kampuni ya freescale ilikua inafanyia kazi software fulani ambayo ingeweza kuwa na uwezo wa kuingilia rada za kijeshi na kuzimanipulate kwahiyo ilikua ni hotcake kwamambo ya usalama.
Inasemwa yaweza kuwa hao wafanyakazi walitaka kwenda kuuza technology hiyo china kwahiyo ilibidi wazuiwe kwa hali na mali kukanyaga ardhi ya china.kundi la watu kama hao ingekua ngumu kuwamaliza kwa risasi,ikabidi itengenezwe ajali.
Nimesoma sehemu nikipata link ntaiweka.

Ndege imetekwa hii na hakuna anayejua imetuwa wapi hakuna ajali mapailot walijiandaa they know everything maana hata radar inashindwa kuona ndege ilipita cheni rada haiwezi kuditect
Something fishy is going on
 
Waislaam wote ni ndugu.

Osama hakuwa gaidi, magaidi ni Wamerekani.

sawa waislam wote ni ndugu
mnapopata nafas ya kwenda kusoma ughaibun mchague kwenda arabun,maana weng wenu mnawaza kwenda marekani na ulaya
wakati huohuo mkikutana kwenye vijiwe vya kimbumbumbu mnalishana ujinga
kwangu mm ni bora niish na mnyama kuliko mashehe njaa waliojaa chuki zisizo na maendeleo
 
Back
Top Bottom