Acha kuishi kwa historia wewe.Kijana kuwa na subira, kwa sababu "mwaka jana tarehe kama ya leo ndo walitangaza officially", so ndani ya wiki hii wanaweza toa.
Daah coz 2nasubiri bila mafanikio naona
Nazani tarehe za wiki ijayo kama sio ishirini na saba ishirini na sita kitu itakua aut
Kwa ufupi ungesema SUBIRI.Leo... usiwe na pressure sana, na kama sio leo ni kesho na kama sio kesho kesho kutwa, na kama sio kesho kutwa hadi mtondogoo... ni lazima majina yenu yatolewe
Kwa ufupi ungesema SUBIRI.
ndugu unajua kukatisha watu tamaa..! teh teh teh
Leo... usiwe na pressure sana, na kama sio leo ni kesho na kama sio kesho kesho kutwa, na kama sio kesho kutwa hadi mtondogoo... ni lazima majina yenu yatolewe
Kijana kuwa na subira, kwa sababu mwaka jana tarehe kama ya leo ndo walitangaza officially, so ndani ya wiki hii wanaweza toa.
------ ww....basi kumbe watatoa,unakurupuka na kuandika ushenzi umu ili ukatishr watu tamaa´......mxiiiiiiHawatoi leo, hawatoi kesho, hawatoi keshokutwa wala mtondogoo! Hawatoi mchana, hawatoi ucku, hawatoi jioni wala majogoo! Kila wk wanawalazimisha watu warudie kuapply wakat wanajua hawana sifa. Labda mpaka wafike round Z ndiyo selection zitatoka.
ndugu unajua kukatisha watu tamaa..! teh teh teh
Nashawishika kuamini kuwa itakua baada ya mwezi huu ili yatoke kwa pamoja na wanaoomba sasa.