Eti..Kwa nini iwe ni wanawake tu?!

Tuliangalie hili swala kwa undani zaidi.Hii ni moja ya maswala tete ya jinsia. Moja ya ishu kubwa katika muktadha mzima wa mambo ya jinsia ( gender) ni mitizamo ya behaviours zinazoonekana ni sahihi kwa wanawake na wanaume na hili ni standard katika jamii nyingi.Watoto wa kike na wa kiume hupewa malezi yenye kuonyesha kuwa msichana/mwanamke lazima awe mwenye aibu kutenda mambo fulani hasa haya ya kujamiiana.Wavulana/wanaume wao hulelewa kuelekea kuwa viwembe kwenye mambo hayo na ni njia mojawapo ya kuonekana ni kidume kwelikweli.Kwa kweli malezi haya japo hudumisha heshima kwa wanawake, inabidi kutizamwa kwa jicho lingine hasa kwa miaka hii yenye UKIMWI.

Ulimwengu umebadilika sana na hata zile systems za kurekebisha mienendo mibaya kwenye jamii hazipo tena na hata kama zipo hazifanyi kazi. Pia kuna matatizo mapya ambayo yamejitokeza siku hizi ambayo zamani hayakuwepo.Mwanaume au mvulana mwenye kujivinjari ovyo ovyo..huweza kupata athari za kiafya na hata kifo. Ni muda muafaka kwa jamii kusisitiza heshima kwa wote... hakuna cha mvulana wala msichana.Kilicho kibaya kwa msichana ni kibaya pia kwa mvulana - ndio ukweli kwa maisha ya sasa hivi.
...Lakini na wanawake kwa upande wao wanachangia katika kuiweka hii dhana ya kuwa demu akimegwa sana ni malaya na si mwanaume. Nina mifano hai kwangu mi binafsi ya wanawake ambao walijua kuwa nimemega rafiki zao na ninapo-muapproach yeye anaishia tu kukwambia lakini wewe unapenda sana wanawake....huku anainma chini na kutafuna kucha, ukimtolea macho sana na uongo mwingine kidogo unachukua mzigo!
 
Umenena vema kabisa dada na hii ndio inayoitwa social constructed - imejengwa na jamii na wala si vitabu vya dini wala nini kama asemavyo Geoff. Watoto wa kike wanalelewa wawe wanyenyekevu na ikitokea amekuwa mkali hata katika kutetea haki zake basio ataonekana kwa jicho la kikorofi bali kwa mwanaume ni sawa tena atapongezwa kabisa.
Asante MJ1
Kwa kuongezea... hata hizo dini ni systems/institutions for re-inforcing hiyo socialisation process.Dini, mila, desturi vyote hivi hukomelea haya malezi na mafundisho ya vipi mwanaume/mwanamke awe.
UZURI NI KUWA GENDER NI DYNAMIC, INABADILIKA KUTOKANA NA WAKATI NA PIA MAHALI kwa sababu inahusisha binadamu ambaye naye ni dynamic.Na kwa vile hizi behaviours ni learned( hufundishwa) they can also be de-learned!
 
...Lakini na wanawake kwa upande wao wanachangia katika kuiweka hii dhana ya kuwa demu akimegwa sana ni malaya na si mwanaume. Nina mifano hai kwangu mi binafsi ya wanawake ambao walijua kuwa nimemega rafiki zao na ninapo-muapproach yeye anaishia tu kukwambia lakini wewe unapenda sana wanawake....huku anainma chini na kutafuna kucha, ukimtolea macho sana na uongo mwingine kidogo unachukua mzigo!
Laligeni,
Hatusemi kuwa wanaume ndio husema au la.Kumbuka hizi standards huwekwa na jamii - wanawake na wanaume.Pia kumbuka kuwa katika kujenga hizi dhana toka utotoni kwenye malezi wanawake kama walezi ndio hufanya au kuchukua jukumu kubwa zaidi kuanzia ngazi ya familia hadi kwenye jamii.Kingine cha kuzingatia ni kuwa, pamoja na hizo dhana kuingizwa kwenye vichwa vya watu, haiwaondolei wanadamu ule ubinadamu wao ( human nature).Matamanio, hisia na fikra bado zipo bila kujalisha ni mwanamke au mwanaume.Hii ukijumlisha na mabadiliko makubwa ndani ya jamii ambapo zile social mores zimemomonyoka na kuondosha unyanyapaa basi utayaona sana hayo uliyoyasema. Zamani ilikuwa ni nadra kusikia watu wakijadili kwa uwazi sana mambo ya mahusiano y akingono - siku hizi hakuna tena ile aibu wala soni.Watu wanaongea waziwazi, watu wanahusiana kihalali nk.
 
wanaume huwa HAWAZINI!........

HII STATEMENT HAIHITAJI MJADALA!labda wakabishane na biblia
Baada ya Yesu kuja duniani na akaona kasoro hii,alijaribu kurekebisha,kama unakumbuka kisa cha mwanamke aliyefumwa akizini na akaletwa kwa Yesu ili apigwe mawe,unajua kwanini hakupigwa? Jiulize hilo na isiiQuote bibilia kuhalalisha maovu,kwanza ni ngumu kuielewa na unahitaji kunote vipengele vingi kuhakikisha kilichosemwa sehemu moja!

Ngugu yangu,tunaishi dunia ya mfumo 'DUME', kwa hiyo kila baya ni la jinsia ya "KIKE",POLE WANAWAKE WOOOOOOOOOOOOOOTE! Sikiliza matusi yaliyo common na yanayosemwa na wanaume,wote wanamtaja mwanamke,ambaye ni mama yao,dada yao,mke wao na hata mpenzi wao!!!
 
wanaume huwa HAWAZINI!........

HII STATEMENT HAIHITAJI MJADALA!labda wakabishane na biblia
Baada ya Yesu kuja duniani na akaona kasoro hii,alijaribu kurekebisha,kama unakumbuka kisa cha mwanamke aliyefumwa akizini na akaletwa kwa Yesu ili apigwe mawe,unajua kwanini hakupigwa? Jiulize hilo na usiiQuote bibilia kuhalalisha maovu,kwanza ni ngumu kuielewa na unahitaji kunote vipengele vingi kuhakikisha kilichosemwa sehemu moja!

Ndugu yangu,tunaishi dunia ya mfumo 'DUME', kwa hiyo kila baya ni la jinsia ya "KIKE",POLE WANAWAKE WOOOOOOOOOOOOOOTE! Sikiliza matusi yaliyo common na yanayosemwa na wanaume,wote wanamtaja mwanamke,ambaye ni mama yao,dada yao,mke wao,mtoto wao na hata mpenzi wao!!!
 
Womanof substance,
Hebu turudi katika hali halisi huenda ukaelewa hoja yangu. Chukulia wewe ni mwanamke kiukweli kabisa ukamuona m/naume anayechukua sana wadada may be kwa upande wako kwa kuwa una mwanga wa uelewa ukamsikitikia mwanamke anayetoka na huyo jamaa, lakini kama jamaa atakutokea na wewe huenda ndani ya moyo wako ukadhani umepata bahati ya kukumbana na huyo mtu ingawa kiasi fulani utajipa matumaini kuwa ukiwa naye utambadirisha apunguze kama sio kuacha huo ukware. Suala je, kwa maoni yako kwa nini uvundo wa umalaya huvuma sana kwa mwanamke kuliko mwanaume? wakati tendo la ngono huusisha mwanaume na mwanamke? Nyie mlioenda shule ndio mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kuifuta hii dhana potofu kama ni kweli kuwa tatizo ni malezi yetu kuwa mwanaume ni superior than mwanamke hata kama ni uchafu unawalenga wote? angalia mwanaume akifumaniwa na mkewe hali inavyokuwa mume huweza kuomba msamaha na maisha yakaendelea, lakini mke akifumaniwa na mume na sifa atakayobebeshwa ni malaya tu ndio maana ametoka nje ya ndoa yake na huenda hata msamaha usiwepo.. Why??!! Kwa nini??!!
 
Tuliangalie hili swala kwa undani zaidi.Hii ni moja ya maswala tete ya jinsia. Moja ya ishu kubwa katika muktadha mzima wa mambo ya jinsia ( gender) ni mitizamo ya behaviours zinazoonekana ni sahihi kwa wanawake na wanaume na hili ni standard katika jamii nyingi.Watoto wa kike na wa kiume hupewa malezi yenye kuonyesha kuwa msichana/mwanamke lazima awe mwenye aibu kutenda mambo fulani hasa haya ya kujamiiana.Wavulana/wanaume wao hulelewa kuelekea kuwa viwembe kwenye mambo hayo na ni njia mojawapo ya kuonekana ni kidume kwelikweli.Kwa kweli malezi haya japo hudumisha heshima kwa wanawake, inabidi kutizamwa kwa jicho lingine hasa kwa miaka hii yenye UKIMWI.

Ulimwengu umebadilika sana na hata zile systems za kurekebisha mienendo mibaya kwenye jamii hazipo tena na hata kama zipo hazifanyi kazi. Pia kuna matatizo mapya ambayo yamejitokeza siku hizi ambayo zamani hayakuwepo.Mwanaume au mvulana mwenye kujivinjari ovyo ovyo..huweza kupata athari za kiafya na hata kifo. Ni muda muafaka kwa jamii kusisitiza heshima kwa wote... hakuna cha mvulana wala msichana.Kilicho kibaya kwa msichana ni kibaya pia kwa mvulana - ndio ukweli kwa maisha ya sasa hivi.

J, karibu tena jamvini naona unafanya vitu vyako kama kawaida yako.
 
Laligeni,
Hatusemi kuwa wanaume ndio husema au la.Kumbuka hizi standards huwekwa na jamii - wanawake na wanaume.Pia kumbuka kuwa katika kujenga hizi dhana toka utotoni kwenye malezi wanawake kama walezi ndio hufanya au kuchukua jukumu kubwa zaidi kuanzia ngazi ya familia hadi kwenye jamii.Kingine cha kuzingatia ni kuwa, pamoja na hizo dhana kuingizwa kwenye vichwa vya watu, haiwaondolei wanadamu ule ubinadamu wao ( human nature).Matamanio, hisia na fikra bado zipo bila kujalisha ni mwanamke au mwanaume.Hii ukijumlisha na mabadiliko makubwa ndani ya jamii ambapo zile social mores zimemomonyoka na kuondosha unyanyapaa basi utayaona sana hayo uliyoyasema. Zamani ilikuwa ni nadra kusikia watu wakijadili kwa uwazi sana mambo ya mahusiano y akingono - siku hizi hakuna tena ile aibu wala soni.Watu wanaongea waziwazi, watu wanahusiana kihalali nk.

watu wa beijing wameingia humu, kaazi kwelikweli

jamani, chnzo cha yote ni mumbile. hakuna mchawi mwingine. mwanmke kutembea na kioo kwenye mkoba au handbag iliyosheheni vipodozi, huwezi kusema kirahisi kuwa ni gender issue. kuna mambo huhusianishwa na gender kimakosa na wakati ni sex issues. mwanaume, anapitiliza matamanio hata kwa sauti ya wadudu tu, wakati wanamke hutaka vitu mshawisho. ni busara kusema mwanume humsaidia mwanamke kuchokoza na akishahisi jaribio la kuchokozwa basi yeye anachokoza kweli na kujishindia mapenzi. ndivyo mwenyezi Mungu alivyo-design, mwanadamu hawezi ugeuza. ni biologia.

mamabo ya mwanmke kuitwa malaya ni haki kwani purely cultural and subjective na si biological walla objective. kuna baadhi ya tafiti zimegundua kuwa mwanamke akiitwa malaya inamuongezea pride kwake mwenyewe na kwa wanaume kwa kiwango fulani
 
watu wa beijing wameingia humu, kaazi kwelikweli

jamani, chnzo cha yote ni mumbile. hakuna mchawi mwingine. mwanmke kutembea na kioo kwenye mkoba au handbag iliyosheheni vipodozi, huwezi kusema kirahisi kuwa ni gender issue. kuna mambo huhusianishwa na gender kimakosa na wakati ni sex issues. mwanaume, anapitiliza matamanio hata kwa sauti ya wadudu tu, wakati wanamke hutaka vitu mshawisho. ni busara kusema mwanume humsaidia mwanamke kuchokoza na akishahisi jaribio la kuchokozwa basi yeye anachokoza kweli na kujishindia mapenzi. ndivyo mwenyezi Mungu alivyo-design, mwanadamu hawezi ugeuza. ni biologia.

mamabo ya mwanmke kuitwa malaya ni haki kwani purely cultural and subjective na si biological walla objective. kuna baadhi ya tafiti zimegundua kuwa mwanamke akiitwa malaya inamuongezea pride kwake mwenyewe na kwa wanaume kwa kiwango fulani

Kukebehi huku sasa kunatoka wapi? ( looks like u have no clue what gender is all about...) Obviosly kuna tofauti kati ya sex( jinsi) needs na gender ( jinsia) needs/interests...... na asante kutupa ur own experience as regards sexual behaviours for men as opposed to that of women.Asante.

Najaribu kukuelewa kwenye hiyo bolded part ya pili na tatu bado sijaweza........By the way..can you give us the reference for the alleged utafiti kuonyesha mwanamke akiitwa malaya anapanda chati?
 
kuna baadhi ya tafiti zimegundua kuwa mwanamke akiitwa malaya inamuongezea pride kwake mwenyewe na kwa wanaume kwa kiwango fulani

Mimi sijasikia hata siku moja tafiti yoyote ambayo inadai kwamba mwanamke akiitwa malaya inamuongezea pride kwake mwenyewe na kwa mwanaume kwa kiwango fulani. Kama anaona pride kuitwa malaya basi huyo ni malaya wa kweli.

Wanawake wanaojiheshimu kamwe hawawezi kukubali hata siku moja kudhalilishwa kwa kuitwa malaya eti kwa kutaka pride, pride ipi hiyo ya kuitwa malaya!? :confused: Hebu tuwekee hizo tafiti unazozingumzia hapa jukwaani.
 
......Eti wanaume hawaziniii.... na wakati nyie ndio waovu wakubwa, nyie ndio chanzo cha matatizo hapa duniani. Msingekuwa mnatongoza tuone kama huyo mwanamke atakuwa malaya!!


Wewe unafikiri tusingetongoza si mngetutongoza na kutufuata
kwani nyie hamtongozi,
mnapokuwa manajipitisha kwa vidume mara hoo leo umekuwa handsome
mara hoo leo nitoe disko
lakini ndiyo kutongoza kwenu huko.
 
hili limenikuta juzi tu nilikuwa safarini mkoani iringa na pale nilipofikia mtaani kwetu nilikutana na kabinti kako vizuri sana kwa mtazamo wa nje na sikupoteza muda nikaanza operation mara moja lakini jamaa mmoja akaniambia mzee wewe hukai hapa sana huyo binti ni kicheche mbaya achana nae.
kwanza shukuru kuwa umeambiwa/umepewa ukweli
pili wewe unataka uitwe malaya?
Tatu uku mtaani kwetu wote wanaume na wanawake wenye tabia hizi tunawaita malaya hatuna ubaguzi sisi
nne anzisha kikundi cha kuelimisha jamii ya kwako ili waache huo unyanyapaa
 
Back
Top Bottom