kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Uwezekano wa kuwepo ndio ni 50% Kwa 50% Ila wanautofauti sema hivi mbu wapo wenye Sumu na wasio na Sumu mfano "Ivilikinge wapo wa mchana wakati limewaka Jua ukipita msituni unawapata na wanang'ata"Ila hawana madharaWadau nilikuwa nabishana na jamaa flan et kuna nchi ULAYA na AMERCA ambazo hakuna mbu kabisa, tumebishana sana nikaona nilete ubishi huo umu jamvini ili tusaidiane kupeana faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app