kindoki
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 213
- 218
Wadau nilikuwa nabishana na jamaa flan et kuna nchi ULAYA na AMERCA ambazo hakuna mbu kabisa, tumebishana sana nikaona nilete ubishi huo umu jamvini ili tusaidiane kupeana faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app