Tatizo wanahofia huyu jamaa ni mswati kwamba ana uhusiano na nguruwe wengi.
Du! Kweli dunia ina mambo na ukistaajabu ya musa (real god) utaona ya filauni (allah)
Nimesikia kwamba mkoani iringa kwa takribani mwezi mmoja kitimoto imepigwa marufuku kuuzwa. Sababu inatajwa kuwa ni kutokana na jamaa mmoja alikutwa akimbaka nguruwe bandani.
Mpaka sasa haijulikani ni nguruwe wangapi aliowatenda ubaya huo. Serikali imeamua kupiga marufuku matumizi ya kitimoto kwa kuhofia kwamba huenda yule jamaa atakuwa kawaambukiza magonjwa mbali mbali hao wanyama.