Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Nimesikia kwamba mkoani iringa kwa takribani mwezi mmoja kitimoto imepigwa marufuku kuuzwa. Sababu inatajwa kuwa ni kutokana na jamaa mmoja alikutwa akimbaka nguruwe bandani.
Mpaka sasa haijulikani ni nguruwe wangapi aliowatenda ubaya huo. Serikali imeamua kupiga marufuku matumizi ya kitimoto kwa kuhofia kwamba huenda yule jamaa atakuwa kawaambukiza magonjwa mbali mbali hao wanyama.
Mpaka sasa haijulikani ni nguruwe wangapi aliowatenda ubaya huo. Serikali imeamua kupiga marufuku matumizi ya kitimoto kwa kuhofia kwamba huenda yule jamaa atakuwa kawaambukiza magonjwa mbali mbali hao wanyama.