Kwema wakuu
Kuna workmates wangu tunafanya naye kazi ofisi moja ila kitengo tofauti
But tunapanda gari moja la ofisini maana tunakaa mtaa mmoja
Mwanzoni nilikua namchukulia kama mshikaji wangu tuu baada ya mda basi tukaanza mazoea nikaona akinizoea sana nitamkosa maana nia yangu nilikua nidate naye siku moja nikamuita nikamueleza hisia zangu akanichomolea daah nilijisikia vibaya basi nikasema haikua riziki yangu nikakaza moyo konde ilimradi niliumia saana maana ni mzuri kweli ila nikajikaza
Sasa baaada hapa mimi nikaacha kuwa nae na mazoea kabisaa nikawa busy na mambo yangu Salam tuu basi
Siku moja akanipigia simu usiku akamiambia mbona simpigiagi simu tena nikamuambia mambo mengi sasa hivi ila. Nitakua nakupigia siku moja moja akaniambia sio siku moja moja uwe unanipigia kila siku nikamuambia poa
Kusema ukweli nilishindwa maana moyo wangu ulikua ushakua mzitoo nikawa simpigii simu basi bana kumbe mwenzangu anakasirika nikawa nikimsalimia haitiki au anaitika kinyonge nikamuita nikamuambia vp mbona uko hivo akasema mbona unipigiagi simu tena?
Nikamuambia basi nitakua na kupgia sasa hapa nashindwa kuelewa nia yake nn na wakati alishanikataa mwanzoni?
Kuna workmates wangu tunafanya naye kazi ofisi moja ila kitengo tofauti
But tunapanda gari moja la ofisini maana tunakaa mtaa mmoja
Mwanzoni nilikua namchukulia kama mshikaji wangu tuu baada ya mda basi tukaanza mazoea nikaona akinizoea sana nitamkosa maana nia yangu nilikua nidate naye siku moja nikamuita nikamueleza hisia zangu akanichomolea daah nilijisikia vibaya basi nikasema haikua riziki yangu nikakaza moyo konde ilimradi niliumia saana maana ni mzuri kweli ila nikajikaza
Sasa baaada hapa mimi nikaacha kuwa nae na mazoea kabisaa nikawa busy na mambo yangu Salam tuu basi
Siku moja akanipigia simu usiku akamiambia mbona simpigiagi simu tena nikamuambia mambo mengi sasa hivi ila. Nitakua nakupigia siku moja moja akaniambia sio siku moja moja uwe unanipigia kila siku nikamuambia poa
Kusema ukweli nilishindwa maana moyo wangu ulikua ushakua mzitoo nikawa simpigii simu basi bana kumbe mwenzangu anakasirika nikawa nikimsalimia haitiki au anaitika kinyonge nikamuita nikamuambia vp mbona uko hivo akasema mbona unipigiagi simu tena?
Nikamuambia basi nitakua na kupgia sasa hapa nashindwa kuelewa nia yake nn na wakati alishanikataa mwanzoni?