Eti huyu ni Sista Duuh

soo sad, nikiona mdada amelewa inaniuma zaidi kuliko wengine wakilewa..
 
maisha gani haya kweli kwa hali hii vvu itakoma@@@@@@@@@@:target:
 
ungeonyesha full mpaka chioni unawezakuta chini yupo empty na masela wameshamaliza.
 
Daah mbona anaacha juice inamwagika bwana,ngoja nilete kikombe cha kukingia
 
Kizazi cha bongo fleva kinasikitisha sana. Mungu awalinde tu for they are lost in transition ya reality na ujinga.
 
waone tu watu wamependeza barabarani waangalie wakiwa wamelala ni kichekesho
 
Teh,teh,teh,teh..chezea pombe weyee,nani alishakwambia pombe inakamiwa?????matokeo yake ndio hayo,sidhani kama hapo chini pamepona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…