happy aivan
Member
- Jun 21, 2023
- 39
- 89
Jamani mimi nachoka na hawa wanaume anakutongoza asubui jioni anapiga simu anakuhitaji jamani Yani hata kumfikilia tu unakuwa bado eti anataka tunda jamani haya Mambo ni hisia labda kwa wale waonauza k sababu anajua yupo kazini lakini kwa wa kawaida sio poa.
Kwanini msiwe kama wenzetu huko mbele mnakaa hata miezi badilikeni. Unachukua namba kwa demu ukipiga simu tu eti unamwambia unatamani kumkisi mda huo huo duuh jamn ndio maana madem wengi jua linazama wakiwa kwao hata nyie wanaume mnasababisha.
Kwanini msiwe kama wenzetu huko mbele mnakaa hata miezi badilikeni. Unachukua namba kwa demu ukipiga simu tu eti unamwambia unatamani kumkisi mda huo huo duuh jamn ndio maana madem wengi jua linazama wakiwa kwao hata nyie wanaume mnasababisha.