Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Kua nawe utakuwa kama huyo bahati mbaya siku hizi mtu kufikisha miaka 50 ni sandakarawe
Siyo kweli mkuu, enzi zake hapakuwa na chekechea!mi ninayo ya chekechea,alikua kama Dogo janja yule mwanamziki wa bongofleva.
aah, babu kumbe alikua hb, halafu alikua anafanana na wilbroad
Duuuu, ama kweli hujafa hujaumbika!!
Avator ya kiharakati hiyo, Tunapinga kwa nguvu zote ushoga! we are Anti-Cameron!Jamani hii avatar sawa?
View attachment 40595