Eti hizi hela zimekamatwa wapi?

Eti hizi hela zimekamatwa wapi?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,033
Reaction score
2,123
595202E5-3835-4886-853A-344D6721CBC4.jpeg

1530BB92-2FCE-457D-BB33-637FC5C191C6.jpeg
 
Sasa nikizipata hizi si nakuwa nakula elf 10 kila siku mpaka miaka 100 bado zipo tu.
Ukila elfu 10 kila siku ni sawa na 3,650,000 kwa siku 365 ambazo zinakamiliasha mwaka mmoja!

Ubaya ukiwa una hela ni kuwa kuna siku utataka ubadilishe milo utaenda kula zaidi ya elfu 10 hasa ukitaka kula kitimoto safi na bia😂😂😂!!! Kimsingi ili ule vizuri bila kujinyima kila mwaka utatumia million walau 8 kulilisha tumbo tu!
 
hauta kimbilia kuoa mwanamke mwenye matako makubwa kweli 😂😂
Hela hio lazma cha kwanza utachofikiria ni ndinga na malaya mwenye shepu kali😅 hata wazo la kula hutakuwa nalo sababu hela ni tiba ya njaa!

Yani hata leo ukikutana na laki 5 ya ghafla ambayo haikuwa kwenye hesabu utajiskia kushiba mda wote😅 unaweza ukanywa glass ya juisi tu ukalala usingizi mzuri tu.

Kosa hela sasa kmmmk dah! Hata ukila saa 12 still saa 2 usiku njaa itauma tena😂😂😂
 
Hela hio lazma cha kwanza utachofikiria ni ndinga na malaya mwenye shepu kali😅 hata wazo la kula hutakuwa nalo sababu hela ni tiba ya njaa!

Yani hata leo ukikutana na laki 5 ya ghafla ambayo haikuwa kwenye hesabu utajiskia kushiba mda wote😅 unaweza ukanywa glass ya juisi tu ukalala usingizi mzuri tu.

Kosa hela sasa kmmmk dah! Hata ukila saa 12 still saa 2 usiku njaa itauma tena😂😂😂
na huyo mwanamke ata mfesa hela zote....aurudie u jobless 🤣
 
Back
Top Bottom