tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,055
- 16,510
Hello wakuu!
Kuna kesi nimeletewa na couple flani niisuruhishe, nimeshndwa hata nianzie wapi,anyway issue nzima iko hipi,
Kuna jamaa angu ana mchumba ake wanaish nae tayari ingawa hawajafunga ndoa, Sasa huyo mchumba wake ni wale wanawake wenye wivu uchwara na wasiojiamini,
Yaani kila jamaa akitoka kazini lazima simu yake ipekuliwe, Sasa juzi kati jamaa alimtumia text manzi flani ambae ni workmate wake na ujumbe ulikua mfupi tu,kosa alilolifanya ni kumuita yule manzi totoo,
Sasa mchumba wake ameinasa hiyo text na umezuka ugomvi mkubwa sana, Mchumba wa jamaa anaclaim eti huyo aliyeitwa totoo lazima atakua ni mchepuko wa jamaa,
Kwahiyo binti kajinunisha toka majuzi na hatimaye faili la hiyo kesi limetua mezani kwangu, Nimemhoji mshtakiwa kuhusiana na hyo kesi amesema ni kweli alimtumia huyo binti hyo text lakini hakua na nia mbaya.
So wakuu, Nasolve vipi hii ngoma?
Kuna kesi nimeletewa na couple flani niisuruhishe, nimeshndwa hata nianzie wapi,anyway issue nzima iko hipi,
Kuna jamaa angu ana mchumba ake wanaish nae tayari ingawa hawajafunga ndoa, Sasa huyo mchumba wake ni wale wanawake wenye wivu uchwara na wasiojiamini,
Yaani kila jamaa akitoka kazini lazima simu yake ipekuliwe, Sasa juzi kati jamaa alimtumia text manzi flani ambae ni workmate wake na ujumbe ulikua mfupi tu,kosa alilolifanya ni kumuita yule manzi totoo,
Sasa mchumba wake ameinasa hiyo text na umezuka ugomvi mkubwa sana, Mchumba wa jamaa anaclaim eti huyo aliyeitwa totoo lazima atakua ni mchepuko wa jamaa,
Kwahiyo binti kajinunisha toka majuzi na hatimaye faili la hiyo kesi limetua mezani kwangu, Nimemhoji mshtakiwa kuhusiana na hyo kesi amesema ni kweli alimtumia huyo binti hyo text lakini hakua na nia mbaya.
So wakuu, Nasolve vipi hii ngoma?