Eti hii text ina ubaya gani wakuu?

Eti hii text ina ubaya gani wakuu?

Mkuu ukiona neno "totoo" ni tatizo usiishie hapo.
Hao wana makandokando yao mengi 2 ila wamekosa namna yakuyatoa ndio maana neno hilo ambalo huenda linaonekana kama la kawaida ndilo limezua ugomvi, waambie wote waeleze makandokando yao yoteeeee maana kuna vitu vimejificha nyuma na hilo neno.
 
hamna kitu kinachoboa kwenye mahusihano kama wivu uliopitiliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hamna kitu kinachoboa zaidi kwenye uhusiano kama kuwa na spouse anaependa flirting around bila sababu. It sucks a life! Kama una mtu wako anakufeel hayo mazoea ya kuchombezana na watu wengine yanakera mno maana ndio usaliti unapochipukia huko!!!
 
Ukiwa karibu na mwanamke usishindane nae,hasa kwa vitu vidogo inaleta madhara makubwa usiyotegemea.

Akili za usiku
 
vitu vidogo vidogo vinapoteza muda na hela ilivyopotea sasa, mie nikajua Couple inauliza jinsi ya kutafuta mahela
 
Natabiri mleta uzi hayupo vizuri kwenye microsoft word
 
Jamaa yako amshukuru Mungu anamuonyesha tabia za "mkewe" mtarajiwa, aamue sasa kunyoa au kuvaa wigi
 
Hello wakuu!
Kuna kesi nimeletewa na couple flani niisuruhishe,nimeshndwa hata nianzie wapi,anyway issue nzima iko hipi,kuna jamaa angu ana mchumba ake wanaish nae tayari ingawa hawajafunga ndoa,asa huyo mchumba ake ni wale wanawake wenye wivu uchwara na wasiojiamini,yani kila jamaa akitoka kazini lazima simu yake ipekuliwe,asa juzi kati jamaa alimtumia text manzi flani ambae ni work mate wake,na ujumbe ulikua mfupi tu,kosa alilolifanya ni kumuita yule manzi totoo,sasa mchumba ake ameinasa hyo text na umezuka ugomvi mkubwa sana,mchumba wa jamaa anaclaim eti huyo aliyeitwa totoo lazima atakua ni mchepuko wa jamaa,so binti kajinunisha toka majuzi na hatimae faili la hiyo kesi limetua mezani kwangu,nimemhoji mshtakiwa kuhusiana na hyo kesi amesema ni kweli alimtumia huyo binti hyo text lakini hakua na nia mbaya.
So wakuu,nasolve vipi hii ngoma?
Yeye aendelee kula mzigo tuu kununa kutaisha, ww achana nao, wapotezee
 
Hakuna kitu kizuri kama kujishusha, jamaa ajishushe aombe msamaha maisha yaendelee.
 
Hao waliokuletea hilo shauri wanajua kwamba shauri lao limekushinda na hivi sasa uko mtaa wa saba kutafuta majibu nyumba kwa nyumba?
 
Back
Top Bottom