Eti bora vita kuliko udhalimu wa CCM

Eti bora vita kuliko udhalimu wa CCM

bukoba boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
5,376
Reaction score
3,976
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.
 
Bora umasikini wa vyote kuliko umasikini wa akiri kweli,wewe hapo unaona una uhuru sasa.Yawezekana ukaona hivyo kwakuwa haujui
 
Bora umasikini wa vyote kuliko umasikini wa akiri kweli,wewe hapo unaona una uhuru sasa.Yawezekana ukaona hivyo kwakuwa haujui

Kwa hiyo bora vita tu mkuu tajiri wa akili?
 
aisee hicho kichwa cha habari kilinishtua sana 'eti bora vita kuliko utawala wa ccm' nilikasema duu kweli wewe hata taarifa za habari huwa hauangalii.

Kwa ukweli vita za wenyewe kwa wenyewe hazifai hata kidogo mfano mzuri ni siera lione, liberia, sudan, rwanda na jirani zake, afrika ya magharibi na kwingineko duniani.

Yaani nawaomba watanzania wenzangu chonde chonde tusikubali kuingiza nchi yetu kwenye janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe
 
Kwa mfano tukisema tuchapane tutachapana baina ya nani na nani?

Tuanzie hapo
 
Bora umasikini wa vyote kuliko umasikini wa akiri kweli,wewe hapo unaona una uhuru sasa.Yawezekana ukaona hivyo kwakuwa haujui

jamaangu akili yako haina akili kweli unatamani kufa huku ukiugua unakimbilia hospitali
 
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.
Hii naona unawatia ujinga magamba wenzio, bora vita iwepo ndo watu watatia akili. Vinginevyo magamba yaachie madaraka kwa amani.
 
Wewe ni mfuasi wa jambazi sugu na fisadi papa lowasa. Full stop
 
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.

Hata mimi kabla nilidhani bora hii amani yenye mitego mingi kuliko vita.Lakini kwanini jeshi la polisi linaua wanyonge wasio na hatia?Hata kama jambazi ndiyo anastahili kifo?Hivi imefika mahali umiwa chama cha upinzani uraia wako unafutika?Najiuliza huyu mlevi polisi walishindwa kumbeba hadi waamue kumuua?

In short Tanzania hakuna AMANI.Vilngozi wa dini ndiyo akina Pengo wasiojua kutetea watanzania wasiokuwa na uwezo..Kweli kabisa kwa sasa ni bora VITA kuliko amani ya mangumashi.Na serikali ya huyu Kilaza ispokuwa makini inaita vita ya wenyewe kwa wenyewe.Sishangai ndiyo sababu wamekimbia mkutano wa JKN foundation.

Naomba Mungu siku moja ndege iliyobeba hawa mashetani ianguke na asisalie hata mmoja.Inatia hasira serikali isiyofuata siyo haki za binadamu basi hata sheria za nchi.Kweli wamechoka.eh Mungu hawa wamecboka tunaomba uwamalizie tu wasije wakatumaliza na sisi.duh.
 
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.

Ukitaka Kujua Ubaya Wa Magomvi Ya Wenyewe Kwa Wenyewe Tembelea Kigoma Kwa Sasa Ujionee Hali Ilivyo Uwanja Wa Lake Tanganyika, Baba Hajui Mkewe Yuko Wapi,Nk Nk..
 
kabla ya yote mimi sio ccm wala cdm,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa ccm,mimi napingana nao ingawa ndio ccm imefanya machafu mengi sana kuanzia epa,richmond, meremeta.escrow, radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama prof kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni tanzania.
Ni bora ccm waendelee kuliko kuingia vitani.

umekula kungu manga we basha???
 
Hivi Kenya yale mapigano yao yalipoteza wangapi hadi wakaheshimiana?
Na uzembe huu wa watu kupiga deal na kuiba madawa hospitalini bila woga kwa viile wanalindwa na chama chao wangapi wanakufa?
Nitaunga mkono kwenye idadi ndogo
 
Bora vita kuliko kuendelea kutawakiwa na c.c..
.......e........m......!.
 
Ni ujina kujivunia amani ili hali nchi inanajisiwa na kufanywa ukiwa.heri vita kuliko dhuluma ya ccm ilo ua wengi.
 
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.

Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.


Bado damu ya usaliti inakuandama tu,ulishindwa wakati ule na utashindwa sasa
 
La hasha! Ni bora vita kuliko kuendelea kuongozwa na chama kilichochoka hivi!
 
Back
Top Bottom