bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.
Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.
Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.