Eti babu kaleta Kasheshe kweli hii au 01.04.2011

Eti babu kaleta Kasheshe kweli hii au 01.04.2011

Magulumangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
3,051
Reaction score
462
Babu Ambi wa Loliondo aliwaambia wagonjwa wakae kwenye mistari....wale wenye ukimwi mstari wao na wale wenye kisukari pia mstari wao. Watu wote wakajaa kwenye mstari wa wagonjwa wa kisukari.

Babu kuona wote ni wa kisukari akasema.."ngoja hii dawa ya ukimwi niimwageee"....watu wakapiga keleke..aaah babu usiimwage.... tumejichanganya...babu! usiimwage......!!!!!
 
hakyanani thina mbafu! Dah hii kal kwa kweli!
 
Back
Top Bottom