Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
- Thread starter
- #141
Hapo nimeona kilambio tu nimekoma, sembuse kifunika kikojoleo?....hebu acheni kumnyanyapaa babu yenu. Ukizingatia leo nimevaa suruwale ya tetroni afu nimechomekea. Mnataka niazirike huku kijiweni?mh,babu na ww! kwani bibi bado hajarudi?manake naona mawazo yanazidi kukata mawimbi! kama amekuachia gagulo nadhani its high time uanze kulinusa kabla hali yako haijakuwa hali ya hewa