Eti 60% ya Vijana MATUMAINI yao yapo CCM!!

Eti 60% ya Vijana MATUMAINI yao yapo CCM!!

sokoinei

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,832
Reaction score
566
Jioni ya leo tar 20 May 2013 nilibahatika kutazama kikao cha bunge la jioni. Hii ilitokana na kuahirishwa Spika Makinda kuahirisha kikao cha asubuhi baada ya Mbunge wa ccm Godfey Zambi kuomba muongozo kwa spika kutokana na alichodai kua hotuba ya Kambi rasmi ya upinza Bungeni iliyokua ikisomwa na Waziri kivuli Joseph Mbilinyi ilikua ni ya uchochezi.

Baada ya bunge kuahirishwa asubuhi,....jioni nilikua na hamu sana kujua mwisho wa Igizo hilo la Spika na Godfrey Zambi utaishia wapi na utaishaje!

Nyote tulishuhudia jinsi sakata lile lilivyoisha kwa Sugu kusoma hotuba yake yote japo bado Zambi aliomba mwongozo lakini Spika alimkatalia na kusema kuwa Hotuba hiyo ya Kambi ya Upinzani ukurasa wa 1-14 haitakua Rekoded.

Jambo la kushangaza kama sio kuuzunisha,akichangia hotuba hiyo ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Mbunge mmoja Viti maalum Ccm(Jina limenitoka) alisema kwamba Vijana 60% Tanzania Matumaini yao yapo Ccm na kwamba yale walioyasikia muda mfupi uliopita kutoka kwa "Wasanii" Ni Sanaa! Nadhani alimaanisha hotuba ya Mh Joseph Mbilinyi(Sugu). Na wasidanganywe na waigizaji kwani Mugizaji anaweza kuigiza analia na wewe ukalia kiukweli.

Serikali ya CCM kwa miaka yote wamekua na wimbo wao wa kusema Vijana ni Taifa la kesho na sio la leo. Mh huyu anavyodai kuwa Mategemeo ya Vijana yapo Ccm je ni kwa yepi ambayo ccm inaweza kujivunia kuwa imewatendea vijana wa nchi hii? Kauli ya mheshimiwa huyu ni ya uongo na ya Kisanii! Vijana tuamke na tuikatae Ccm kwa kuwa hawana jipya wala hawana Nia na Mipango madhubuti ya kutukomboa na hali ngumu ya maisha zaidi sana wanataka kutuhadaa.
 
Mimi yule mbunge sijamuelewa baadae,akatoa ratiba ya tv zote kwenye taarifa za habari waanze na habari za rais,waziri mkuu,mawaziri n.k nikasema wameharibu tbc wanataka kuhuribu na tv binafsi.
 
Kijana yeyote anayetaka kuendesha maisha yake kijanja janja, kitapelitapeli, kiwiziwizi na kwa lugha ya kileo tunaweza kusema "maisha ya kupiga ma-deal" ; Mfano unatumwa kuvizia wakosoaji wa CCM na serikali yao na kuwang'oa kucha, macho na kuwapa mateso makali au kununua shahada za kupigia kura au kumtukana Dr Wilbroad Slaa na uzushi mwingine........NI WAZI KUWA TUMAINI LAKE NI CCM!!.

Vijana tunaopenda haki, usawa na uwajibikaji siku zote TUMAINI LETU NI MUNGU ALIYEUMBA MBINGU na NCHI na kwa upande wa chama cha siasa hapa Tz, tumaini letu kwa sasa ni CHADEMA!!.
 
Kijana yeyote anayetaka kuendesha maisha yake kijanja janja, kitapelitapeli, kiwiziwizi na kwa lugha ya kileo tunaweza kusema "maisha ya kupiga ma-deal" ; Mfano unatumwa kuvizia wakosoaji wa CCM na serikali yao na kuwang'oa kucha, macho na kuwapa mateso makali au kununua shahada za kupigia kura au kumtukana Dr Wilbroad Slaa na uzushi mwingine........NI WAZI KUWA TUMAINI LAKE NI CCM!!.

Vijana tunaopenda haki, usawa na uwajibikaji siku zote TUMAINI LETU NI MUNGU ALIYEUMBA MBINGU na NCHI na kwa upande wa chama cha siasa hapa Tz, tumaini letu kwa sasa ni CHADEMA!!.

huyo mbumge ni mzanzibar, anajipendekeza, ma siku si nyingi mtamsikia kateuliwa serikalini au ccm, kuropoka na kujipendekeza ndio dili kwa ccm ya sass.
 
Jioni ya leo tar 20 May 2013 nilibahatika kutazama kikao cha bunge la jioni. Hii ilitokana na kuahirishwa Spika Makinda kuahirisha kikao cha asubuhi baada ya Mbunge wa ccm Godfey Zambi kuomba muongozo kwa spika kutokana na alichodai kua hotuba ya Kambi rasmi ya upinza Bungeni iliyokua ikisomwa na Waziri kivuli Joseph Mbilinyi ilikua ni ya uchochezi.

Baada ya bunge kuahirishwa asubuhi,....jioni nilikua na hamu sana kujua mwisho wa Igizo hilo la Spika na Godfrey Zambi utaishia wapi na utaishaje!

Nyote tulishuhudia jinsi sakata lile lilivyoisha kwa Sugu kusoma hotuba yake yote japo bado Zambi aliomba mwongozo lakini Spika alimkatalia na kusema kuwa Hotuba hiyo ya Kambi ya Upinzani ukurasa wa 1-14 haitakua Rekoded.

Jambo la kushangaza kama sio kuuzunisha,akichangia hotuba hiyo ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Mbunge mmoja Viti maalum Ccm(Jina limenitoka) alisema kwamba Vijana 60% Tanzania Matumaini yao yapo Ccm na kwamba yale walioyasikia muda mfupi uliopita kutoka kwa "Wasanii" Ni Sanaa! Nadhani alimaanisha hotuba ya Mh Joseph Mbilinyi(Sugu). Na wasidanganywe na waigizaji kwani Mugizaji anaweza kuigiza analia na wewe ukalia kiukweli.

Serikali ya CCM kwa miaka yote wamekua na wimbo wao wa kusema Vijana ni Taifa la kesho na sio la leo. Mh huyu anavyodai kuwa Mategemeo ya Vijana yapo Ccm je ni kwa yepi ambayo ccm inaweza kujivunia kuwa imewatendea vijana wa nchi hii? Kauli ya mheshimiwa huyu ni ya uongo na ya Kisanii! Vijana tuamke na tuikatae Ccm kwa kuwa hawana jipya wala hawana Nia na Mipango madhubuti ya kutukomboa na hali ngumu ya maisha zaidi sana wanataka kutuhadaa.
kama anayosema ni kweli waandikishwe vijana waliofika miaka 18 kwenye uchaguzi huu wa madiwani
 
Ivi kweli ccm wanataka tena tuwape miaka 50? ili watufanyie nini walichobakiza?
 
Kijana yeyote anayetaka kuendesha maisha yake kijanja janja, kitapelitapeli, kiwiziwizi na kwa lugha ya kileo tunaweza kusema "maisha ya kupiga ma-deal" ; Mfano unatumwa kuvizia wakosoaji wa CCM na serikali yao na kuwang'oa kucha, macho na kuwapa mateso makali au kununua shahada za kupigia kura au kumtukana Dr Wilbroad Slaa na uzushi mwingine........NI WAZI KUWA TUMAINI LAKE NI CCM!!.

Vijana tunaopenda haki, usawa na uwajibikaji siku zote TUMAINI LETU NI MUNGU ALIYEUMBA MBINGU na NCHI na kwa upande wa chama cha siasa hapa Tz, tumaini letu kwa sasa ni CHADEMA!!.
naunga mkono!
 
Kijana mwenye matumaini na ccm labda kina riz one na wenzake! Ccm vijana imewazuia kupata elimu bora, ajira zenye maslahi na hata wakiwa chuoni hawapo huru kujiunga na chama wakitakacho! Ccm ni tumaini la vijana mafisadi kwa taifa letu!
 
Vijana wengi walioko chadema ni vikundi vya wahuni rejea sugu na lema.
 
Kijana mwenye matumaini na ccm labda kina riz one na wenzake! Ccm vijana imewazuia kupata elimu bora, ajira zenye maslahi na hata wakiwa chuoni hawapo huru kujiunga na chama wakitakacho! Ccm ni tumaini la vijana mafisadi kwa taifa letu!
mnaona raha kupewa viroba kuingia barabarani kufanya fujo.
 
Ni takwimu toka wapi hizo?na tatizo lenu kubwa magamba ni kuacha kukubali mapungufu yenu na kuanza kukijenga chama chenu mnaishia kudanganyana na kujipa moyo na mkienda kulala usiku mnapata maumivu makali ya chadema inavyochukua NCHIm
 
Mimi yule mbunge sijamuelewa baadae,akatoa ratiba ya tv zote kwenye taarifa za habari waanze na habari za rais,waziri mkuu,mawaziri n.k nikasema wameharibu tbc wanataka kuhuribu na tv binafsi.

viti maalumu vinatuharibia bunge sifa na vigezo havizingatiwi.yule mbunge alikuwa anaongea kama yupo kwenye taarabu shoga yake pembeni alikuwa anachagiza kwa kupiga makofi hata kwenye pumba ikabidi spika ampige biti
 
Vijana wengi walioko chadema ni vikundi vya wahuni rejea sugu na lema.

Uhuni wa Lema na Sugu ni upi? Ama kweli Nyani haoni Kundule yaani leo unawaita Lema na Sugu ni Wahuni! Utawaeka wapi LUSINDE, Anaetukana hovyo mbele ya watoto na SERUKAMBA anaetukana hovyo Bungeni? Au uhuni wa Lema na Sugu unao zungumzia wewe ni ule wa Kuikosoa Serikali ya Magamba?

CCM (GENGE LA WAHUNI) HAIKUBALIKI TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!!!
 
viti maalumu vinatuharibia bunge sifa na vigezo havizingatiwi.yule mbunge alikuwa anaongea kama yupo kwenye taarabu shoga yake pembeni alikuwa anachagiza kwa kupiga makofi hata kwenye pumba ikabidi spika ampige biti

Kumbe yule Mbunge ni Mzanzibari? Yule "MAYALA" mwenzake aliekua Pembeni alikua akipiga piga meza na kusababisha kelele wakati "KABAHA" Mwenzake akichangia hadi Spika akamuonya kuacha kupiga kelele.

CCM (GENGE LA WAHUNI) HAIKUBALIKI TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!!!
 
Jioni ya leo tar 20 May 2013 nilibahatika kutazama kikao cha bunge la jioni. Hii ilitokana na kuahirishwa Spika Makinda kuahirisha kikao cha asubuhi baada ya Mbunge wa ccm Godfey Zambi kuomba muongozo kwa spika kutokana na alichodai kua hotuba ya Kambi rasmi ya upinza Bungeni iliyokua ikisomwa na Waziri kivuli Joseph Mbilinyi ilikua ni ya uchochezi.

Baada ya bunge kuahirishwa asubuhi,....jioni nilikua na hamu sana kujua mwisho wa Igizo hilo la Spika na Godfrey Zambi utaishia wapi na utaishaje!

Nyote tulishuhudia jinsi sakata lile lilivyoisha kwa Sugu kusoma hotuba yake yote japo bado Zambi aliomba mwongozo lakini Spika alimkatalia na kusema kuwa Hotuba hiyo ya Kambi ya Upinzani ukurasa wa 1-14 haitakua Rekoded.

Jambo la kushangaza kama sio kuuzunisha,akichangia hotuba hiyo ya Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Mbunge mmoja Viti maalum Ccm(Jina limenitoka) alisema kwamba Vijana 60% Tanzania Matumaini yao yapo Ccm na kwamba yale walioyasikia muda mfupi uliopita kutoka kwa "Wasanii" Ni Sanaa! Nadhani alimaanisha hotuba ya Mh Joseph Mbilinyi(Sugu). Na wasidanganywe na waigizaji kwani Mugizaji anaweza kuigiza analia na wewe ukalia kiukweli.

Serikali ya CCM kwa miaka yote wamekua na wimbo wao wa kusema Vijana ni Taifa la kesho na sio la leo. Mh huyu anavyodai kuwa Mategemeo ya Vijana yapo Ccm je ni kwa yepi ambayo ccm inaweza kujivunia kuwa imewatendea vijana wa nchi hii? Kauli ya mheshimiwa huyu ni ya uongo na ya Kisanii! Vijana tuamke na tuikatae Ccm kwa kuwa hawana jipya wala hawana Nia na Mipango madhubuti ya kutukomboa na hali ngumu ya maisha zaidi sana wanataka kutuhadaa.


Sidhani ila kama ni kweli basi taifa letu limekwisha. Hivi kuna kijana mwenye akili timamu kweli anashabikia CCM karne hii, kwa msingi gani?
 
Back
Top Bottom