slimshedy
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,049
- 1,012
Hata wanaoabudu sanamu wanaimani kama yakoYesu ndio kamwokoa na naamini hivyo.Hutaki unaacha wala hulazimishwi kuamini.
Kwangu mimi Yesu ana uwezo Mkubwa sana wa Kutenda Miujiza maana yupo popote muda wote.