Eternal Punishment cannot be understandable by any one

Mafundisho ya Quran na Biblia yanapingana kuhusu mambo yote ya Msingi. Hakuna namna ambayo mtu anaweza kufanya upatanisho wa mafundisho ya vitabu hivi kwa namna yoyote, yaani tunabakiwa na uchaguzi mmoja tu- kukubali mafundisho ya kitabu kimoja ambacho tumeridhika kwamba ni sahihi na kuyakataa mafundisho ya kitabu kinachopingana. Kazi ambayo kila mtu anabaki nayo ni kujua kipi kati ya vitabu hivi ama vingine ni Neno La Mungu.



TUANZE hapa- katika Biblia Mungu ni mmoja na ana Nafsi Tatu Takatifu. Katika Quran Mungu ni moja na hana mshirika. Hapo hao ni Miungu tofauti kabisa (Allah si Eli(Yehova)).
Wapi ndani ya biblia inasema Mungu ana nafsi 3? aya ipi inasema hivyo?
Mungu wa Abraham alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Moses alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Yesu alikuwa na nafsi ngapi?
Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Adam na Eve? Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Moses?

Abraham alifundisha Mungu ana nafsi 3? Moses alifundisha Mungu ana nafsi 3? Yesu alifundisha Mungu ana nafsi 3? Nani aliandika au kufundisha Mungu ana nafsi 3?

Mfano umenukuu Yohana 14:28 na unataka nione Yesu anaposema Baba ni MKUU kuliko mimi. Halafu unasahau kwamba hapohapo Yesu anamtaja Mungu kama BABA yake kitu ambacho wewe kama Muislamu hukubaliani nacho. Sasa nikueleweje, kwamba hapo ukweli ni neno Mkuu na sio neno Baba?
Huko nyuma ulishasema Yesu alisema The only true God ni God the father au unayakana maneno yako?
Link Eternal Punishment cannot be understandable by any one

Kama umeisoma vyema hiyo aya, Yesu anasema baba ni baba yake lakini pia ni baba wa wote, ni Mungu wake na ni Mungu wa wote.
Unajitoa ufahamu?
John 20:17 Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"

Kwa mujibu wa Biblia kuna mafundisho yafuatayo-- Kwamba Mungu(Yehova/Eli/YHWH) ni mmoja. Na kwamba ana Nafsi Tatu Takatifu. Kwamba Yesu ni Mwana Pekee wa Mungu( neno mwana lina maana yake kiBiblia, usitafsiri kirahisirahisi).
Hilo la nafsi tatu unalichomekea tu.
Yesu amefundisha Tofauti na unayosoma kwenye exodus 20?
Exodus 20:3 "You shall have no other gods before me.

Mark 12:29 "The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel: The Lord our God, the Lord is one.

Na hii zawadi yako.
Link http://www.quranitukufu.net/Biblia/index.htm
 



Wapi ndani ya biblia inasema Mungu ana nafsi 3? aya ipi inasema hivyo?
Mungu wa Abraham alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Moses alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Yesu alikuwa na nafsi ngapi?
Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Adam na Eve? Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Moses?

Abraham alifundisha Mungu ana nafsi 3? Moses alifundisha Mungu ana nafsi 3? Yesu alifundisha Mungu ana nafsi 3? Nani aliandika au kufundisha Mungu ana nafsi 3?

Huko nyuma ulishasema Yesu alisema The only true God ni God the father au unayakana maneno yako?
Link Eternal Punishment cannot be understandable by any one

Kama umeisoma vyema hiyo aya, Yesu anasema baba ni baba yake lakini pia ni baba wa wote, ni Mungu wake na ni Mungu wa wote.
Unajitoa ufahamu?
John 20:17 Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"


Hilo la nafsi tatu unalichomekea tu.
Yesu amefundisha Tofauti na unayosoma kwenye exodus 20?
Exodus 20:3 "You shall have no other gods before me.

Mark 12:29 "The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel: The Lord our God, the Lord is one.

Na hii zawadi yako.
Link http://www.quranitukufu.net/Biblia/index.htm




Wapi ndani ya biblia inasema Mungu ana nafsi 3? aya ipi inasema hivyo?
Mungu wa Abraham alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Moses alikuwa na nafsi ngapi? Mungu wa Yesu alikuwa na nafsi ngapi?
Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Adam na Eve? Je Mungu wa Biblia ndiye Mungu wa Moses?

Abraham alifundisha Mungu ana nafsi 3? Moses alifundisha Mungu ana nafsi 3? Yesu alifundisha Mungu ana nafsi 3? Nani aliandika au kufundisha Mungu ana nafsi 3?

Huko nyuma ulishasema Yesu alisema The only true God ni God the father au unayakana maneno yako?
Link Eternal Punishment cannot be understandable by any one

Kama umeisoma vyema hiyo aya, Yesu anasema baba ni baba yake lakini pia ni baba wa wote, ni Mungu wake na ni Mungu wa wote.
Unajitoa ufahamu?
John 20:17 Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"


Hilo la nafsi tatu unalichomekea tu.
Yesu amefundisha Tofauti na unayosoma kwenye exodus 20?
Exodus 20:3 "You shall have no other gods before me.

Mark 12:29 "The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel: The Lord our God, the Lord is one.

Na hii zawadi yako.
Link http://www.quranitukufu.net/Biblia/index.htm


Kwa hali ya kawaida sitegemei kwamba utaweza kuona mahali panapomtaja Mungu kuwa ni Mmoja na ana Nafsi Tatu Takatifu. Hii ni kwa sababu umeshindwa kuona hata vitu vilivyo dhahiri kabisa, yaani kwamba Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote na kwamba HAKUNA njia nyingine ya kumkaribia Mungu ili kupata msamaha Wa dhambi isipokuwa kuamini na kukiri kwamba Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya dhambi zako.

Mtu anayepinga vitu ambavyo ni dhahiri kabisa katika Biblia, tutegemee kwamba hatapinga vitu vilivyofichika?

KUHUSU kuyaelewa Maandiko Matakatifu.
Biblia inafundisha wazi kuwa sio kila atazamaye huona. Uwezo wa kulitafsiri kwa usahihi Neno la Mungu unaendana na kuwezeshwa kulielewa. Tusome hapa
Marko 12:24 ' Yesu akajibu akawaambia, Je, hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamjui maandiko wala uweza wa Mungu?' Halafu tena Marko 4:11-12 'Akawaambia,Ninyi (wanafunzi wa Yesu) mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale WALIO NJE hufanywa kwa mifano. 12. ili wakitazama watazame, WASIONE. Na wakisikia wasikie, WASIELEWE...'. Inasikitisha unawatumia 'Mashehe' kuelezea Mafundisho yaliyopo katika Biblia, uwezo Wa Kuona na Kuelewa wameutoa wapi?
ILI KUELEWA unapaswa kukiri kama huyu Matendo 8:30-31 'Basi Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma chuo cha nabii Isaya; akanena, Je yamekuelea haya unayosoma? 31. Akasema,nitawezaje KUELEWA, mtu asiponiongoza?...'. Lakini ili uone mahali panapotaja Mungu kama nilivyo eleza unahitaji kujifunza Kanuni ya kutafsiri Biblia kwa usahihi inaitwa Kanuni Ya UPATANISHO.

Ndugu tukirejea kwenye mada ya Uzi huu, kwa mujibu wa imani yako, Mungu atahukumu vipi wale ambao hawakusikia ujumbe wa imani yako...waliishi kisha wakafa kabla hawajasikia ujumbe wenu. Je Mungu mnaemhubiri atawatendea haki watu hao?
 
Kuna mtu alikufa akafufuka na kuhadithia ile hisia aliyoipata ya kutengana na muumba wake huko jehanam. Hapakuwa na moto, bali ule utengano ulikuwa unaumiza kuliko kitu chochote unachoweza kukihisi in the physical world, alipopita 'mhusika' wa hiyo Jehanam mtu huyo aliyetengwa na muumba wake alilia kwa nguvu sana na kuita "Mungu wangu..!", "Mungu wangu...!", "Mungu wangu..!", aliita hivyo kwa mara ya idadi ambayo hata yeye hawezi kuhesabu, maana aliamini yule anaepita angeweza kumuondosha mahali pale.., na ghafla alirudi duniani...
Hadithi za kusadikika.. Hizo ita watoto wasimulie.. Kafa alaf kafufuka, ?? Ni jamaa yake yesu nini??
 
Kwanza apart from mtoto mchanga hakuna mwanadamu yeyote ambaye hajawahi wala hajawahi kusikia neno la Mungu. Kwahiyo kutokuokoka kwake kunatokana na utashi wake mwenyewe
 
Kati ya vitu vigumu kuviamini ni pamoja na hili.hakuna mtu amewahi kwenda huko na akaludi kutuhadithia ukweli,tunasoma tu na tunaambiwa tuamini,kama MUNGU aliniumba kwa mfano wake tena akanipendelea akanipa kutawala vitu tofauti na binadamu,akili ya mimi kutamani mwanamke mzuri anaepita barabarani kanipa yeye mwenyewe,na tena ananiambia nikimtazama kwa kumtamani nimekwishazini tayali,yaani huo moto wa milele unanisubili,aisee hapa hua kuna utata,ndo mana kuna watu pia wanaamini siku ya mwisho ni ile utakayokufa mauti hapa duniani,tena wengine wanaenda mbele wanaongezea yamkini ukifa utazaliwa tena ktk namna nyingine,ni kizungu zungu kwa kweli
Safi kaka licha ya hilo la kutamani anasema pia ukizini ni dhambi unapaswa kuanza kushiriki tendo la ndoa baada ya kufunga ndoa......... kwanini tusiwe tuna barehe baada ya kufunga ndoa ili kuepusha uzinifu??
 
Safi kaka licha ya hilo la kutamani anasema pia ukizini ni dhambi unapaswa kuanza kushiriki tendo la ndoa baada ya kufunga ndoa......... kwanini tusiwe tuna barehe baada ya kufunga ndoa ili kuepusha uzinifu??
Heshima kwako mkuu. Unachojaribu kukiepuka hapo ni jukumu alilokupa Mungu la kufanya UAMUZI. Yaani hutaki kuchagua kati ya uzinzi na uaminifu. Tukifikiri kama unavyosema tutakuja kukuta hicho cha watu kubarehe wakati wameoa hakiondoi jukumu la uamuzi wa kuzini au kuishi kwa uaminifu,kwa sababu wako wanawake/wanaume wengine ambao sio wenzi wako wa ndoa...na hii ndio maana baadhi ya watu waliooa ama kuolewa bado wanafanya uzinzi.

Lakini ikiwa unamaanisha kuwa mbona ni vigumu kuchagua kile ambacho Mungu anatutaka tukifanye, Maandiko Matakatifu( Biblia) yanatoa mbinu kadhaa za kutusaidia kushinda dhambi.
Mithali 6:27 "Je, Mtu aweza kukanyaga makaa ya moto, Na nyayo zake zisiungue?" Yaani ili kijana aishinde zinaa lazima aepuke vitu vinavyochochea zinaa, kama kweli amekusudia kutii amri ya Mungu ya kuwa mwaminifu lazima adhibiti nyimbo anazosikiliza,marafiki alionao,mawazo anayofikiri,vitabu anavyosoma,mitandao anayotumia,magazeti,redio, filamu...kisha asome Neno la Mungu na kudumu katika maombi na ibada.

Hatuna udhuru lazima tuchague kutii ama kutotii amri za Mungu. Ikiwa tunataka kuzitii, Biblia iko wazi kutuonesha mbinu na njia za kufanya ili tufanikiwe katika kuzitii amri hizo. Tujifunze kwa BIDII.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom