Eternal Punishment cannot be understandable by any one

always am a Winner

JF-Expert Member
Nov 16, 2012
230
193
Look!

Let's say unazaliwa katika familia ya wapagani (wasiojua Mungu) then unaishi maisha ya taabu na shida na vipindi vifupifupi vya raha.

Unaishi miaka kadhaa (labda 43) hivi, ukiwa umeelemewa na msongo wa mawazo unaotokana na matatizo mbalimbali, magonjwa na hussles. Then unakufa bila kujua au kusikia kuhusu Mungu (Au hata kama umesikia).

Then gafla kiti cha enzi kinatokea, juu yake yupo Mungu mwenye upendo wote, mwenye uwezo wote. Anakuhukumu moto wa milele na milele kwa makosa uliyofanya ukiishi hapa duniani (ambapo napo ulikuwa na baadhi ya wema). Moto usiozimika, unounguza mara dufu ya moto wa kawaida (kwa mujibu wa vitabu vya dini). Hivi hii kitu nyie mnaelewa logic yake?

Hata binadamu tu hatujawahi kuwa na kifungo cha gerezani cha milele, iweje Mungu awe na adhabu kali namna hiyo? Can anyone tell me? I just can't understand!

Nawasilisha!
 
Hakuna kitu kama moto wa milele. Hizo story tu vitabu vya dini vinawaambia mambo kimafumbo au lugha ambayo ni ambiguous. Waliandika wana~sodoma na ghomorrah watachomwa moto wa milele, unataka unambie hadi leo bado wanawaka? moto wa milele ni neno ambiguous sana, linaweza kua linamaanisha unachomwa unapotea milele, tofauti na ile kufa then ukafufuliwa. Sijui kama unapata my point? Kwa lugha rahisi kabisa hakuna anayeelewa chochote kile.

Alafu dini ina complications nyingi tu, utamlaumu vipi mtu kazaliwa Pagan? mtu kazaliwa Mkristo, Muislamu? nani mkweli kati yao? Una uhakika gani maana kila moja anaamini anachokiamini ndio sahihi. In other words wote tunajifanya tunajua ila hakuna anayejua ukweli, wote tunaendaenda tu. Presence ya supernatural power yaweza kuwepo au ikawa coincidence tu, no one knows kwa kua hakuna aliyewahi experience.
 
Kati ya vitu vigumu kuviamini ni pamoja na hili.hakuna mtu amewahi kwenda huko na akaludi kutuhadithia ukweli,tunasoma tu na tunaambiwa tuamini,kama MUNGU aliniumba kwa mfano wake tena akanipendelea akanipa kutawala vitu tofauti na binadamu,akili ya mimi kutamani mwanamke mzuri anaepita barabarani kanipa yeye mwenyewe,na tena ananiambia nikimtazama kwa kumtamani nimekwishazini tayali,yaani huo moto wa milele unanisubili,aisee hapa hua kuna utata,ndo mana kuna watu pia wanaamini siku ya mwisho ni ile utakayokufa mauti hapa duniani,tena wengine wanaenda mbele wanaongezea yamkini ukifa utazaliwa tena ktk namna nyingine,ni kizungu zungu kwa kweli
 
Kama dunia inazunguka jua. Na jua linazungukw na sayari zngne kubw kuliko dunia, kama jua ni nyota na kuna nyota zngne nyng zaid kwa idad isiyohesabika na zote hizo znasayari zake . Then vyote hivyo vmeumbwa na Mungu how so special we are to be concerned by God ... Myb tunajipag vtsho bure tu ila Mungu pngn hayupo km tunavyofkr au Mungu tunayemjua anamwingine mkubwa zaid yake aliyempa sehemu fulan aitawale. Najarb kuwaz tu but am not sure Mungu sahih ni yupi
 
Eternal separation from your creator is an excruciating ordeal for your consiousness/soul as fire is for the physical body
Mbona vitabu havijasema hilo, vyenyewe viongelea the real fire. Moto huu huu tunaoujua. Sema tu utakuwa mkali zaidi. Kulikuwa na sababu gani ya kutaja moto kama ishu ni eternal separation from your creator si wangesema tu waziwazi?
 
Musa alikuta kijiti kinawaka moto lakini hakiteketei,ndio moto unao zungumziwa,moto unachomwa na kufa hufi..
Kasome vzr kaka utaelewa,hujasoma ndio maana unabisha usichokijua
Sijaelewa unamjibu nani? Mimi au wachangiaji? Ni vyema wakati unajibu ukaquote comment unayoijibu
 
Kama dunia inazunguka jua. Na jua linazungukw na sayari zngne kubw kuliko dunia, kama jua ni nyota na kuna nyota zngne nyng zaid kwa idad isiyohesabika na zote hizo znasayari zake . Then vyote hivyo vmeumbwa na Mungu how so special we are to be concerned by God ... Myb tunajipag vtsho bure tu ila Mungu pngn hayupo km tunavyofkr au Mungu tunayemjua anamwingine mkubwa zaid yake aliyempa sehemu fulan aitawale. Najarb kuwaz tu but am not sure Mungu sahih ni yupi
Halafu ulimwengu una expand each day! Tena kwa spidi ya ajabu
 
Mbona vitabu havijasema hilo, vyenyewe viongelea the real fire. Moto huu huu tunaoujua. Sema tu utakuwa mkali zaidi. Kulikuwa na sababu gani ya kutaja moto kama ishu ni eternal separation from your creator si wangesema tu waziwazi?
Kuna mtu alikufa akafufuka na kuhadithia ile hisia aliyoipata ya kutengana na muumba wake huko jehanam. Hapakuwa na moto, bali ule utengano ulikuwa unaumiza kuliko kitu chochote unachoweza kukihisi in the physical world, alipopita 'mhusika' wa hiyo Jehanam mtu huyo aliyetengwa na muumba wake alilia kwa nguvu sana na kuita "Mungu wangu..!", "Mungu wangu...!", "Mungu wangu..!", aliita hivyo kwa mara ya idadi ambayo hata yeye hawezi kuhesabu, maana aliamini yule anaepita angeweza kumuondosha mahali pale.., na ghafla alirudi duniani...
 
Look!

Let's say unazaliwa katika familia ya wapagani (wasiojua Mungu) then unaishi maisha ya taabu na shida na vipindi vifupifupi vya raha.

Unaishi miaka kadhaa (labda 43) hivi, ukiwa umeelemewa na msongo wa mawazo unaotokana na matatizo mbalimbali, magonjwa na hussles. Then unakufa bila kujua au kusikia kuhusu Mungu (Au hata kama umesikia).

Then gafla kiti cha enzi kinatokea, juu yake yupo Mungu mwenye upendo wote, mwenye uwezo wote. Anakuhukumu moto wa milele na milele kwa makosa uliyofanya ukiishi hapa duniani (ambapo napo ulikuwa na baadhi ya wema). Moto usiozimika, unounguza mara dufu ya moto wa kawaida (kwa mujibu wa vitabu vya dini). Hivi hii kitu nyie mnaelewa logic yake?

Hata binadamu tu hatujawahi kuwa na kifungo cha gerezani cha milele, iweje Mungu awe na adhabu kali namna hiyo? Can anyone tell me? I just can't understand!

Nawasilisha!


Hapo kwenye red ni upotoshaji. Upagani haina maana ya kutomjua Mungu. According to the dictionary, paganism means "a person holding religious beliefs other than those of the main world religions." Neno hilo lilitumika na Wakristo miaka ya mwanzo wa Ukristo kuwaelezea watu ambao walikuwa wanafuata dini ambazo sio Ukristo. Ni sawa na Waislamu sasa hivi wanavyowaita watu wasio Waislamu "Makafiri".
 
Hapo kwenye red ni upotoshaji. Upagani haina maana ya kutomjua Mungu. According to the dictionary, paganism means "a person holding religious beliefs other than those of the main world religions." Neno hilo lilitumika na Wakristo miaka ya mwanzo wa Ukristo kuwaelezea watu ambao walikuwa wanafuata dini ambazo sio Ukristo. Ni sawa na Waislamu sasa hivi wanavyowaita watu wasio Waislamu "Makafiri".

Hili nalo neno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom