ESTIM Construction ni kampuni ya nchi gani?

Huko sawa mkuu for best of ur knowledge ila kiuhalisia ziko kampuni nyingi tu za ndani pia zafanya na zaweza fanya vyema kwenye ujenzi wa miundo mbinu na majengo, isipokuwa urasimu na figisu za wale dhamana ndio shida...
 
Unaweza zitaja mkuu.. au ndio delmonte
Huko sawa mkuu for best of ur knowledge ila kiuhalisia ziko kampuni nyingi tu za ndani pia zafanya na zaweza fanya vyema kwenye ujenzi wa miundo mbinu na majengo, isipokuwa urasimu na figisu za wale dhamana ndio shida...
 
Kupanda nyasi ni kutokana na ukweli kwamba hela ya kuweka pavement za pembeni hazipo hivyo wanatumia nyasi kama mbadala wa pavement
 
Du....kweli eewe ndio hujui kitu.
Mchina hakutia mguu mradi wa Msata Bagamoyo.
Kazi ilikuwa estim mwanzo mwisho, tena kwa gharama za kutisha Tshs 2bn kwa kilometa!
Ulizia Tanroads upate facts.
Hapa si chit chat.
Cha ajabu hataki kujishughulisha na bei za estim kuwa juu kuliko mkandarasi yoyote na kazi anapewa,kazi ya bagamoyo msata ni mbaya mno
 
Cha ajabu hataki kujishughulisha na bei za estim kuwa juu kuliko mkandarasi yoyote na kazi anapewa,kazi ya bagamoyo msata ni mbaya mno
Asiende mbali, kazi ya Tegeta Mwenge ni mbaya kwenye road pavement.
Lami ina matuta sehemu nyingi sana.
Kazi hii alifanya Estim akiwa chini ya Konoike
 
Estim Construction Co. Ltd ni kampuni ya Kitanzania kikiongozwa na Ndugu Gire.
Ni kweli kazi zake ni nzuri sana. Mwenge-Tegeta ni kati ya barabara walizojenga. Huu ndiyo uzalendo. Tuwaunge mkono.
 
Rostam Aziz-->Caspian--Estim--Masasi Construction--Kasco Construction--Nyanza Construction

Najaribu kuota
Estim ni Subash Patel akimgawia rafiki yake wa tangu utotoni bwana yule wa msoga na kiasi akipewa bwana huyu mnyampala wa barabara wa enzi zile ili kufanikisha mtiririko wa kazi upande wao,ila pia wapo vzr kwenye kuderiver quality,hata majengo wanaliyojenga km Aura tower ni kazi iliyo nzuri sana na pia hili la sasa hivi linaloelekea kuisha la PPF pale karibuni na mlimani city
 
Napinga kwamba estim anapendelewa.. ila kazi zake ndio zinauza hata anapata madili ya kimataifa.
 
Napinga kwamba estim anapendelewa.. ila kazi zake ndio zinauza hata anapata madili ya kimataifa.
Kabla hujapinga ulipaswa ujipe wasaa japo kidogo kurudia nilichoandika......hakuna sehemu niliyoandika kuwa WANAPENDELEWA
 
ESTIM ni kampuni ya watanzania wenye asili ya asia. Wana uhusiano na Subash Patel. Wanajenga pia lile jengo refu pale Superstar, Mlimani city, kwenye mataa.
 
Inatoka Tanzania, makao makuu yako pale Mwenge ITV
 
Estim Construction Co. Ltd ni kampuni ya Kitanzania kikiongozwa na Ndugu Gire.
Ni kweli kazi zake ni nzuri sana. Mwenge-Tegeta ni kati ya barabara walizojenga. Huu ndiyo uzalendo. Tuwaunge mkono.
Uzalendo wa kujenga barabara zaenye kasoro?
 
Tunashukuru sana na kusifia sana estim
Hebu tupe ukaribu kidogo wa estim na Kamwelwe kama waziri husika
 
Kupanda nyasi ni kutokana na ukweli kwamba hela ya kuweka pavement za pembeni hazipo hivyo wanatumia nyasi kama mbadala wa pavement
UJjuaji mwingine bana kwa hiyo pavement zina hifadhi mazingira kuliko nyasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…