Du....kweli eewe ndio hujui kitu.
Mchina hakutia mguu mradi wa Msata Bagamoyo.
Kazi ilikuwa estim mwanzo mwisho, tena kwa gharama za kutisha Tshs 2bn kwa kilometa!
Ulizia Tanroads upate facts.
Hapa si chit chat.
Ndio wameshusha ile kitu moroccco square.Katika uchunguzi wangu wa miradi ya barabara nimegundua kampuni inayojulikana kama ESTIM inajenga barabara zenye ubora wa hali ya juu sana. Cha ajabu zaidi hawa ESTIM wapo vizuri sana kwenye madaraja na majengo hasa yale makubwa.
Kuna picha nimeona wanavyo jenga barabara ya Kimara kibaha kule Dar es salaam. Kilicho nivutia ni jinsi wanavyo jali mazingira kuhakikisha kwamba sehemu ambazo wameharibu uoto wakati wanajenga wanajitahidi kurudiashia uoto huo kwa kupanda nyasi na miti hata kabla barabar haijaisha kitu ambacho sinakiona kwa kampuni nyingi za kichina.
Jambo kama hilo limeonekana hasa kwa wale jamaa wanaojenga SGR pekee.
Pamoja na hayo yote hawa jamaa wanaonekana kuleta namna mpya ya ujenzi wa barabara zenye quality.
Baadhi ya barabara niliwahi kuipita ni ile ya goba jijini dar es salaam sijui kwa sasa kama bado nzima lakink kwa ujenzi ule naamini hadi sasa itakua bado imara.
Kuna wachina walipewa kujenga barabara ya bagamoyo msata, nasikia waliopoona lile bonde walikimbia , nasikia kazi iliyo fanywa na ESTIM ya kujenga badaraja katika bonde lile ni ya kutukuka.
Sijajua kampuni hii inatoka nchi gani lakini serikali inahitaji kuitambua kwa mchango wake.
Mapendekezo
Kwenye issue za madaraja waachiwe hawa jamaa.
Barabara za magari makubwa waachiwe hawa jamaa.
Majengo ya taasisi kama vyuo etc waachiwe hawa jamaa.
Nasema kutoka moyoni, sijawahi kusikia kashfa ya kazi mbovu toka hii kampuni.
Kama ipo ni ya bahati mbaya.View attachment 1118532
Wewe ndio Eng. mzawa ee? Au nyie ndio maEng wa mkoa?Una akili mbovu sana, sema umeingilia fani isio yako. Ninapokuona juha ni kuwa hata Estim hujui ni ya wapi, na umekuja na unaa kama sio sifa za kuipigia debe. Kuanzia lini wewe ukasema Estim ndio inatakiwa iachiwe Kazi za madaraja, Kazi za majengo na barabara kampuni zingine zitafanya nini? Umekuja na hoja mufilisi kabisa eti wachina walikimbia ujenzi wa bagamoyo-msata, wakafanya Estim, umezidi kujichanganya kwamba umetumwa.
Sasa kwa taarifa yako ni ujenzi wa Kawaida sana kutokana na aina ya ujenzi wa barabara uwe na Kiwango gani. Barabara zina madaraja matano, earth road, gravel road, single surface dressing na double, la mwisho ndio premix ndio hizo wanajenga hao wanaume wako. Zitatofautia layer to za ujenzi basi kwa ajili ya kuhimili uzito tofauti tofauti.
Kwa taarifa yako ni kampuni ya hapa Tanzania, ikiwa kampuni tanzu ya Caspian.
Ili kukuweka wazi kuna kampuni kubwa zenye level moja na hiyo na zinafanya Kazi iliyotukuka sana.
Mtu wa muhimu kuhakikisha ujenzi unakuwa wa Kiwango ni specification za kwenye mkataba, na usimamizi na ukaguzi wa client na consultant.
Wafanye stage zote za ukaguzi, kabla, wakati na mwisho.
Pole na hongera kwa kuongea hisia zako hadharani.
Umesema alikuwepo mchina , tupe jina.Mkuu hizo gharama unazitoa wapi. Pia estim ni contractor wa pili baada ya wa kwanza kufukuzwa.
Magufuli warns Msata-Bagamoyo road contractor
THE Minister for Works, Dr John Magufuli has warned the constructor for the road between Bagamoyo and Msata to make sure that the work is accomplished in time and that the government is not ready for any excuses. The roads construction work has resumed after the former constructor stopped...www.jamiiforums.com
Magufuli warns Msata-Bagamoyo road contractor
THE Minister for Works, Dr John Magufuli has warned the constructor for the road between Bagamoyo and Msata to make sure that the work is accomplished in time and that the government is not ready for any excuses. The roads construction work has resumed after the former constructor stopped...www.jamiiforums.com
Umesema alikuwepo mchina , tupe jina.
Ya TAKOPA tunayakumbuka fika.
Gharama ulizo refer ni pamoja na madaraja matatu pale mto Ruvu?
Nenda sasa ukalione , miaka miwili baadaye.Kwa uzoefu wako kama mhandisi mzawa unadhani ile kazi iliyofanyika pale kwenye lile bonde ni ya kitoto?
Nenda sasa ukalione , miaka miwili baadaye.
Unalifahamu bonde la Malagarasi?
Au unalisikia tu!
Taratibu muzee bado tuko Eid pili.Una akili mbovu sana, sema umeingilia fani isio yako. Ninapokuona juha ni kuwa hata Estim hujui ni ya wapi, na umekuja na unaa kama sio sifa za kuipigia debe. Kuanzia lini wewe ukasema Estim ndio inatakiwa iachiwe Kazi za madaraja, Kazi za majengo na barabara kampuni zingine zitafanya nini? Umekuja na hoja mufilisi kabisa eti wachina walikimbia ujenzi wa bagamoyo-msata, wakafanya Estim, umezidi kujichanganya kwamba umetumwa.
Sasa kwa taarifa yako ni ujenzi wa Kawaida sana kutokana na aina ya ujenzi wa barabara uwe na Kiwango gani. Barabara zina madaraja matano, earth road, gravel road, single surface dressing na double, la mwisho ndio premix ndio hizo wanajenga hao wanaume wako. Zitatofautia layer to za ujenzi basi kwa ajili ya kuhimili uzito tofauti tofauti.
Kwa taarifa yako ni kampuni ya hapa Tanzania, ikiwa kampuni tanzu ya Caspian.
Ili kukuweka wazi kuna kampuni kubwa zenye level moja na hiyo na zinafanya Kazi iliyotukuka sana.
Mtu wa muhimu kuhakikisha ujenzi unakuwa wa Kiwango ni specification za kwenye mkataba, na usimamizi na ukaguzi wa client na consultant.
Wafanye stage zote za ukaguzi, kabla, wakati na mwisho.
Pole na hongera kwa kuongea hisia zako hadharani.
Uraia wa kusajiliwa ndiyo wa aina gani mkuu? Hapa nimetoka kapa mkuu😀Ni kampuni inayomilikiwa na mtanzania mwenye asili ya Uhindini (Uraia wa kusajiliwa)
Hivyo kuiwezesha kusajiliwa kama kampuni ya kizawa
Ni kampuni daraja la kwanza (1) kwenye majengo na uhandisi wa miundombinu jamii.
Kwani Caspian siyo ya RA?Nasikia mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo aliwahi kuwa waziri wa ujenzi na hasa alisifika kwa unyapara katika kusimamia ujenzi wa barabara
YesCaspian ndio Rostam mkuu?
Hapana, itakuwa hujamuelewa😀Duh!
Zote zake?
Kwani upo kipori mkubwa nenda mbezi mwisho kuelekea kibamba utaona picha zitakudanganyaPicha ya huko kimara hadi kibaha wanapojenga hio barabara ipo wapi? Na ya hayo majengo?
Citizenship by registrationUraia wa kusajiliwa ndiyo wa aina gani mkuu? Hapa nimetoka kapa mkuu[emoji3]
Wanachonikera hawa jamaa wanaojenga barabara ya Kimara ni kutokuwa na utaratibu wa kuweka njia mbadala ili kusiwe na msongamano. tunajua kwamba eneo hilo kuna nyumba nyingi zimebomolewa ili kupisha ujenzi wa barabara na kwa hiyo kuna nafasi kubwa sana ya kuweka njia mbadala. kuna viwanja viwili vya mpira hapo katika upana wa barabara. Sasa badala ya kujenga service road za uhakika ili kusiwe na msongamano, tumeshuhudia misururu mirefu ya magari hivi karibuni kutokana na style wanayotumia kujenga ambayo siyo rafiki kwa barabara yenye watumiaji wengi kama ilivyo morogoro road. yaani kwa hilo hawa jamaa MIMI NAWALAANI KABISA WAKAFILIE MBALI