kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
agombee kata kwanza tuone kama ana ubavu sio kujipandisha kwa kutumia jina la Kiongozi wa CCM.
Es!
Nape Amegombea nini akashinda Zaidi ya kubebwa kama kifutu kwa mbereko ya babayake??
Alishindwa kaprimary ambako aligawa sahani za ubwabwa , akapewa ukuu wa wilaya asife njaa. Leo kapewa cheo cha kumsafisha mkubwa . Wewe mkubwa ulivyoshindwa ukarudi kugombea vyeo vya ubwabwa kugawa sanda unakumbuka mama walikwiba zile milioni?? haha hahaaaaaa Dada anakulaza macho utakosa ajira ya tumbo. jibu na hii iingie kwenye hesabu ya siku.