Linyakalumbi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 263
- 107
Mkuu kwenye political platform, mvuto wa sura una umuhimu sana kuwavutia watu wakufahamu au wakupende. Umesahau ya JK 2005?
Leo nilikuwa kama nimenuna mwenye hasirahasira bila sababu.Mungu ibariki JF maana nimecheka mpaka sasa nakaribia kuumwa